Wanaume mnajidanganya kwa hili

Wanaume mnajidanganya kwa hili

Kazi nzuri kunako 6 kwa 5 aise inategemeana na mwanamke yukoje.
Ukiwa na mwanamke yuko bomba aise mambo huja automatically.
Wanaume tujitahidi kuoa wanawake wazuri na wanao vutia

[emoji375][emoji375]
[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]ndio maana Mimi nimenogewa kwa mchepuko,nilichemka kufanya uchaguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
daa mm cjaelewa kipaumbele chako had saiv Kati ya pesa na kibo!, maana kufika kibo ni maamuzi bnafsi na kuridhia!,,(hisia) na pesa ni vitu viwili tofauti kabisa!!!!!
 
Kwa upande wangu mm kama Lily,napenda mwanaume anipe Muda wake zaidi..Yani kitendo cha kunipa MUDA WAKO hiyo ni faraja sana kwngu,najua ndani ya huo muda wako nitapata kila kitu,,"YOUR TIME"
Una miaka mingapi mana interest yako inaonesha una upekee flani mana kwangu nafahamu mwanamke at least apate mambo manne 1.pesa I mean mahitaji 2.time umpe muda wa kuwa nae 3.game ya maana kunako 6*6 na ya 4. Umsikilize japo wengine hatawaridhika lkn angalau ndo mana bible inasema mwanaume ampende mkewe na aishi nae kwa akili kwa sababu hawahitaji kitu 1 tu kama mtoa mada alivyosema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una miaka mingapi mana interest yako inaonesha una upekee flani mana kwangu nafahamu mwanamke at least apate mambo manne 1.pesa I mean mahitaji 2.time umpe muda wa kuwa nae 3.game ya maana kunako 6*6 na ya 4. Umsikilize japo wengine hatawaridhika lkn angalau ndo mana bible inasema mwanaume ampende mkewe na aishi nae kwa akili kwa sababu hawahitaji kitu 1 tu kama mtoa mada alivyosema

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu nina miaka isiyopungua 26.
Ndio sababu nilisema niko na mtazamo wa tofauti wa wengine...
 
Ulichoandika hapo inaonesha bado hujaridhika na uliyenaye...kama umeridhika na huyo anayekufikisha huko kibo na mawenzi hutakiwi kubabaishwa na mwanaume mwingine sababu ya pesa

Kama pesa kwanini msitafute kihalali wewe na huyo bwana ako?

Mkuu mwanamke anapenda mambo mawili pesa na ishu za kitandani....hapo utakuwa umemaliza kila kitu....ila sio wote wanawake wakichaga wanapenda hela tu.
 
Kwa sasa wanaume wanaamini kuwa mapenzi ni pesa ,yaani ili apendwe na mpenzi wake lazima awe na hela za kumpa kitu ambacho si Kweli

Ukweli ni huu,sisi wanawake tunaridhika na mwanaume aliye vizuri kitandani,anayenifikisha kibo na mawenzi,huyo hakika ni moyo wangu,na haiwezi ikapita SAA 1 sijakuuliza uko wapi,au kukuulizia kitu chochote na kama hana hela namwelewa sana,na naona kawaida tofauti na yule ambaye kitandani hayupo vizuri halafu nikuombe hela ,huna ntanuna na naweza kukuona kama takataka Fulani na unavyojua wanawake tunadharau sana

Mwanaume hata kama una kidogo,kwa ajili ya matumizi madogomadogo ila unajituma 6×6,Wewe nakung'ang'ania mpaka basi,hata kama tumepigika tajiri mmoja akaja kuomba gem nampa ili nipate hela za kutumia na mpenzi nimpendaye ila siwezi kumwambia hela nimetoa wapi ,naweza kumwambia nimekopa madam maisha yetu yasonge

Wewe mwanaume hebu jitume umfikishe kibo na mawenzi mpenziwe halafu mnyime hela uone kama huyo mwanamke atanuna au atakuacha,hakuachi ng'oo,hata kama amekufumania hawezi kukuacha lakini kama hufanyi kazi au unafanya blah blah basi jiandae kuachwa au kuwa ATM

Mwanaume tafuta pesa na piga kazi 6×6 uone,mwanamke atatulia kama maji ya mtungi atakuheshimu kama baba yake

Sent using Jamii Forums mobile app

Mambo mawili at a time, basi inaonesha yanategemeana. Wewe mwenyewe inaonesha huwa unamsaliti mpenzi wako mpiga kazi ili upate pesa ya kuendendeshea maisha.
 
Ni kweli upo sahihi,kitombo kzur pesa kdogo mademu huwa wanatulia
 
Kwa upande wangu..
Hofu ya Mungu,upendo,msimamo,maono,kukaa katika nafasi yake ipasavyo Ni sifa za mwanaume bora

Wanawake huwa hatuhitaji pesa
Pesa Ni ziada ila Ni muhimu kwa ajili ya kulea familia Mtakayojaaliwa......maono ndio yatakayompa pesa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom