[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]ndio maana Mimi nimenogewa kwa mchepuko,nilichemka kufanya uchaguziKazi nzuri kunako 6 kwa 5 aise inategemeana na mwanamke yukoje.
Ukiwa na mwanamke yuko bomba aise mambo huja automatically.
Wanaume tujitahidi kuoa wanawake wazuri na wanao vutia
[emoji375][emoji375]
Naomba nidhibitishe kwako tafadhali😄😄😄😄😄Itasaidia kwa mpenzi wako
Una miaka mingapi mana interest yako inaonesha una upekee flani mana kwangu nafahamu mwanamke at least apate mambo manne 1.pesa I mean mahitaji 2.time umpe muda wa kuwa nae 3.game ya maana kunako 6*6 na ya 4. Umsikilize japo wengine hatawaridhika lkn angalau ndo mana bible inasema mwanaume ampende mkewe na aishi nae kwa akili kwa sababu hawahitaji kitu 1 tu kama mtoa mada alivyosemaKwa upande wangu mm kama Lily,napenda mwanaume anipe Muda wake zaidi..Yani kitendo cha kunipa MUDA WAKO hiyo ni faraja sana kwngu,najua ndani ya huo muda wako nitapata kila kitu,,"YOUR TIME"
mkuu nina miaka isiyopungua 26.Una miaka mingapi mana interest yako inaonesha una upekee flani mana kwangu nafahamu mwanamke at least apate mambo manne 1.pesa I mean mahitaji 2.time umpe muda wa kuwa nae 3.game ya maana kunako 6*6 na ya 4. Umsikilize japo wengine hatawaridhika lkn angalau ndo mana bible inasema mwanaume ampende mkewe na aishi nae kwa akili kwa sababu hawahitaji kitu 1 tu kama mtoa mada alivyosema
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulichoandika hapo inaonesha bado hujaridhika na uliyenaye...kama umeridhika na huyo anayekufikisha huko kibo na mawenzi hutakiwi kubabaishwa na mwanaume mwingine sababu ya pesa
Kama pesa kwanini msitafute kihalali wewe na huyo bwana ako?
utanieleza nyumbani aliyekununuliaLa zamani lilitoboka nimenunuliwa lingine
Sina kifaa cha kuthibitishaNaomba nidhibitishe kwako tafadhali[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hahaahahahahahahaha. Waelewane wenyewe kwa wenyewe. HahahahahBabu yangu mwenyewe hakujua wanawake wanataka nini ndo maana akawaoa wanne labda wataelewana wanachotaka
Kwa sasa wanaume wanaamini kuwa mapenzi ni pesa ,yaani ili apendwe na mpenzi wake lazima awe na hela za kumpa kitu ambacho si Kweli
Ukweli ni huu,sisi wanawake tunaridhika na mwanaume aliye vizuri kitandani,anayenifikisha kibo na mawenzi,huyo hakika ni moyo wangu,na haiwezi ikapita SAA 1 sijakuuliza uko wapi,au kukuulizia kitu chochote na kama hana hela namwelewa sana,na naona kawaida tofauti na yule ambaye kitandani hayupo vizuri halafu nikuombe hela ,huna ntanuna na naweza kukuona kama takataka Fulani na unavyojua wanawake tunadharau sana
Mwanaume hata kama una kidogo,kwa ajili ya matumizi madogomadogo ila unajituma 6×6,Wewe nakung'ang'ania mpaka basi,hata kama tumepigika tajiri mmoja akaja kuomba gem nampa ili nipate hela za kutumia na mpenzi nimpendaye ila siwezi kumwambia hela nimetoa wapi ,naweza kumwambia nimekopa madam maisha yetu yasonge
Wewe mwanaume hebu jitume umfikishe kibo na mawenzi mpenziwe halafu mnyime hela uone kama huyo mwanamke atanuna au atakuacha,hakuachi ng'oo,hata kama amekufumania hawezi kukuacha lakini kama hufanyi kazi au unafanya blah blah basi jiandae kuachwa au kuwa ATM
Mwanaume tafuta pesa na piga kazi 6×6 uone,mwanamke atatulia kama maji ya mtungi atakuheshimu kama baba yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Zaidi ya matatizo nakwambiaWanawake tuna matatizo sana aseee
Ana bahari sana kumissiwa na weweI miss someone
I miss you and just know I am not in the country that's why kimyaaaKwa hio???![emoji849]
"heart broken"
Duh!Someone fucked me so well!
Do you know Meeyah mkuu???Well I hope it's me too.
Tujuze na tusiojua jamani usitufanyie ubayaYou know what I mean [emoji1787] [emoji1787]