Wanaume mnajidanganya kwa hili

Wanaume mnajidanganya kwa hili

matokeo yake mtu unakabidhiwa mtoto ambaye si damu yake: kwa dunia ya sasa hivi huwezi tenganisha pesa na mapenzi, hivi vitu vinaendana pamoja" kama upo chumbuni vizuri basi hakikisha na pesa hazikupigi chenga ili kuwa na sustainable love kati yako na mkeo.
Pesa ni muhimu ila haiwezi kuuzidi upendo!
Ukiona mwanamke anahangaika sana na pesa za mwanaume elewa tu hamna upendo hapo.yupo kimkakati zaidi!
 
Kwa sasa wanaume wanaamini kuwa mapenzi ni pesa ,yaani ili apendwe na mpenzi wake lazima awe na hela za kumpa kitu ambacho si Kweli

Ukweli ni huu,sisi wanawake tunaridhika na mwanaume aliye vizuri kitandani,anayenifikisha kibo na mawenzi,huyo hakika ni moyo wangu,na haiwezi ikapita SAA 1 sijakuuliza uko wapi,au kukuulizia kitu chochote na kama hana hela namwelewa sana,na naona kawaida tofauti na yule ambaye kitandani hayupo vizuri halafu nikuombe hela ,huna ntanuna na naweza kukuona kama takataka Fulani na unavyojua wanawake tunadharau sana

Mwanaume hata kama una kidogo,kwa ajili ya matumizi madogomadogo ila unajituma 6×6,Wewe nakung'ang'ania mpaka basi,hata kama tumepigika tajiri mmoja akaja kuomba gem nampa ili nipate hela za kutumia na mpenzi nimpendaye ila siwezi kumwambia hela nimetoa wapi ,naweza kumwambia nimekopa madam maisha yetu yasonge

Wewe mwanaume hebu jitume umfikishe kibo na mawenzi mpenziwe halafu mnyime hela uone kama huyo mwanamke atanuna au atakuacha,hakuachi ng'oo,hata kama amekufumania hawezi kukuacha lakini kama hufanyi kazi au unafanya blah blah basi jiandae kuachwa au kuwa ATM

Mwanaume tafuta pesa na piga kazi 6×6 uone,mwanamke atatulia kama maji ya mtungi atakuheshimu kama baba yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninyi hamliziki hata uwe na vyote

mpuuzi mpuuzi tu
 
Tatizo la kila mwanamke yupo tofauti mwingine usipo mnunulia dera ndani akukaliki mwingine usipo kuwa na ela unapigiwa nje
 
aiseee mwanamke ata ukimpa bao kumi konki bado atakusaliti tu kwa namana yeyote ile,wanawake ukisha wajua ni kama watoto wa dogo

kama dem wangu nilivyo mpata ndivyo na wengine watavyo mpata maaana maneno hayalipiwi na uongo wa wanaume na wanawake ni ulele sema hua tunakaushiana tu kimtindo

mtoa mada kwa point ya ujuzi kitandani haiwezi kua-sababu ya kudum katika mahusiano

yule unaemzania anaweza kwa 999999999% kwa wengine ndio kwanza wana 2%
 
Kwa sasa wanaume wanaamini kuwa mapenzi ni pesa ,yaani ili apendwe na mpenzi wake lazima awe na hela za kumpa kitu ambacho si Kweli

Ukweli ni huu,sisi wanawake tunaridhika na mwanaume aliye vizuri kitandani,anayenifikisha kibo na mawenzi,huyo hakika ni moyo wangu,na haiwezi ikapita SAA 1 sijakuuliza uko wapi,au kukuulizia kitu chochote na kama hana hela namwelewa sana,na naona kawaida tofauti na yule ambaye kitandani hayupo vizuri halafu nikuombe hela ,huna ntanuna na naweza kukuona kama takataka Fulani na unavyojua wanawake tunadharau sana

Mwanaume hata kama una kidogo,kwa ajili ya matumizi madogomadogo ila unajituma 6×6,Wewe nakung'ang'ania mpaka basi,hata kama tumepigika tajiri mmoja akaja kuomba gem nampa ili nipate hela za kutumia na mpenzi nimpendaye ila siwezi kumwambia hela nimetoa wapi ,naweza kumwambia nimekopa madam maisha yetu yasonge

Wewe mwanaume hebu jitume umfikishe kibo na mawenzi mpenziwe halafu mnyime hela uone kama huyo mwanamke atanuna au atakuacha,hakuachi ng'oo,hata kama amekufumania hawezi kukuacha lakini kama hufanyi kazi au unafanya blah blah basi jiandae kuachwa au kuwa ATM

Mwanaume tafuta pesa na piga kazi 6×6 uone,mwanamke atatulia kama maji ya mtungi atakuheshimu kama baba yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Mh uzuri wapiga show tumebaki wachache sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa upande wangu mm kama Lily,napenda mwanaume anipe Muda wake zaidi..Yani kitendo cha kunipa MUDA WAKO hiyo ni faraja sana kwngu,najua ndani ya huo muda wako nitapata kila kitu,,"YOUR TIME"
Lily ningependa kukufaham
 
Back
Top Bottom