Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,921
Umenikabidhi tayari?
asnt
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asnt
narudi kukujibu kama nimekupa au laUmenikabidhi tayari?
narudi kukujibu kama nimekupa au la
Mapenzi ya kweli yanavumilia, hivi unafikiri mwenzio akigundua kuwa unamcheat unafikiri atakua na imani na hayo unayoyasema eti unacheat ili msihangaike. Hahaha ..we mchepukaji sana inaonekanaKama imeshindikana kabisa kupata hela ya kula ndo nafikia hicho kiwango ila sijamaanisha namuacha na hata hivyo nitakuwa nafanya moyo unauma,sio kwa kupenda
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂 hapa hapa itapendeza mkuuSawa bwana... Naomba jibu lipitie piemu.
Wanga wengi hapa
[emoji23][emoji23] hapa hapa itapendeza mkuu
Unataka Muda so ununue SAAKwa upande wangu mm kama Lily,napenda mwanaume anipe Muda wake zaidi..Yani kitendo cha kunipa MUDA WAKO hiyo ni faraja sana kwngu,najua ndani ya huo muda wako nitapata kila kitu,,"YOUR TIME"
Duh nimecheka kwa nguvuUnajua hata kahaba yawezekana ana mtu wake anayempenda lakini kuna mwingine anampa huduma ya ngono kwa sababu ya fedha, sioni tofauti na wewe labda kahaba yeye anafanya biashara ya ngono kwa uma (public sector) wakati wewe unafanya kwa mtu binafsi (public sector) .
Sasa tajiri unampa kwa uwezo wake kifedha, anayekufikisha hata kama maskini unampa kwa uwezo wa utendaji.
Tuseme tu, kila mtu yoyote atakula kwa urefu wa kamba yake linapokuja suala hitaji la kutumia mwili wako ama awe na pesa au uwezo wa kiutendaji wote wana nafasi.
Halafu unajuaje kwamba huyu yuko vizuri kitandani?? si unafanya nae??? Utafanya na wangapi mpaka kumpata mtendaji kazi sahihi???
Your vagina is public toilet for the civilians.
Kimjazacho mtu ndicho kimtokacho. Hakuna suala la kuchomekea , kwani limekuwa shati mpaka uchomekee?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu katumwa na baadhi ya wanaume Ili kupoteza malengo ya wanawake. Wakina dada sikuhizi ni pesa pesa hata usemeje, wataona anawazingua tu. Afu Uzi hauna logic, haieleweki kipi anatetea km aliye na pesa anagongewa na fundi, na fundi akichalala anaweza gongewa na mwenye pesa, sasa kuna sababu gani ya huo uzi? Basi kila mtu afe na chakeAhsante, ila naona kama unatuhadaa. Kwenye Uzi wako huu mfupi umetaja neno pesa/hela zaidi ya Mara nane.Mpaka hapo hujaona unyeti wa hii kitu.
Ndo ukweli huo
I am no body mkuuWho are you mkuu???
I believe you, 1000%I am no body mkuu
We noma sanaKama imeshindikana kabisa kupata hela ya kula ndo nafikia hicho kiwango ila sijamaanisha namuacha na hata hivyo nitakuwa nafanya moyo unauma,sio kwa kupenda
Sent using Jamii Forums mobile app