ndio hivyo mkuu....
You made my day Emoj
Nisipo mtegemea mume wangu nimtegemee nani? Mzigo wenu huo mpaka mwisho wa dunia mnalo.Wanawake mizigo a.k.a goalkeeper utawajua tu.....
cjakuelewa Mkuu
Kuna kushirikiana katika kujenga familia....sio vizuri kama wewe mwanamke unamtegemea mwanaume kwa asilimia mia...Nisipo mtegemea mume wangu nimtegemee nani? Mzigo wenu huo mpaka mwisho wa dunia mnalo.
Nashirikiana nae sana tu. Na halalamiki ht nisipo provide, anajua wajibu wake.Kuna kushirikiana katika kujenga familia....sio vizuri kama wewe mwanamke unamtegemea mwanaume kwa asilimia mia...
Kwa hiyo unawachukuliaje wale wanawake wanaofanya shughuli zao (za kujiingizia kipato) pamoja hizo kazi ulizotaja hapo?? Unafikiri wanakosea sana kufanya hivyo??....Nashirikiana nae sana tu. Na halalamiki ht nisipo provide, anajua wajibu wake.
Na pia kumpa sapoti, kumliwaza, kumpikia, kumfulia, kulea watoto, usafi wa nyumbani. Hizo zote ni kazi zangu. Hapo bado mnataka tukabebe na zege?
Nisipo mtegemea mume wangu nimtegemee nani? Mzigo wenu huo mpaka mwisho wa dunia mnalo.
na hutonielewa kama na wewe hujielewi...
Hawakosei, ni sahihi kabisa...ht mimi nafanya. Tatizo ni wanaume wanaolalamika. Km mkeo Hana shughuli ya kufanya usilalamike timiza wajibu wakoKwa hiyo unawachukuliaje wale wanawake wanaofanya shughuli zao (za kujiingizia kipato) pamoja hizo kazi ulizozitaja hapo?? Unafikiri wanakosea sana kufanya hivyo??....
Nashirikiana nae sana tu. Na halalamiki ht nisipo provide, anajua wajibu wake.
Na pia kumpa sapoti, kumliwaza, kumpikia, kumfulia, kulea watoto, usafi wa nyumbani. Hizo zote ni kazi zangu. Hapo bado mnataka tukabebe na zege?
Serikali isipotimiza wajibu wake tuipongeze tu na wala tusilalamike?? Kumbuka serikali inatakiwa itufanyie kazi sisi na sio kujifanyia kazi yenyewe.....Hawakosei, ni sahihi kabisa...ht mimi nafanya. Tatizo ni wanaume wanaolalamika. Km mkeo Hana shughuli ya kufanya usilalamike timiza wajibu wako
Owkey... You have a point. Tufanye kazi sasa kama rais wetu alivyosema.Serikali isipotimiza wajibu wake tuipongeze tu na wala tusilalamike?? Kumbuka serikali inatakiwa itufanyie kazi sisi na sio kujifanyia kazi yenyewe.....
Serikali ikituwekea mazingira magumu ya kufanya kazi au biashara tukae tu kimya??....tukikaa kimya nani atazungumza?
Huoni kama ni tatizo la kutojitambua kama wanawake wengi hawajui uhusiano uliopo kati ya shughuli za serikali na maisha yao ya kila siku?
Owkey... You have a point. Tufanye kazi sasa kama rais wetu alivyosema.
Hakuna mwanamke goalkeeper , hata kama haingizi pesa yoyote lkn kuna mambo mengi ya nyumbani anafanya. (Labda kama wa kwako hafanyi)Na wewe uache u-goalkipa kama wengine hapa walivyosema......unakuwa goalkipa kila siku, kila mwezi na kila mwaka kwani umeambiwa kuna tuzo zinatolewa???
Wewe kweli goalkipa mzoefu unatakiwa upewe kabisa tuzo ya Golden Glove....Hakuna mwanamke goalkeeper , hata kama haingizi pesa yoyote lkn kuna mambo mengi ya nyumbani anafanya. (Labda kama wa kwako hafanyi)
Unarudi nyumbani unakuta kila kitu kipo okay, chakula kimepikwa,Nguo zako na watoto zimefuliwa, watoto wasafi wanapelekwa shule wanalishwa wana afya, nyumba safi, mke Ana adabu jamii nzima inamuadmire, mzigo unajimegea any time t, unachepuka tena wazi wazi anakuvumilia, Una mdunda mangumi yeye bado yupo tu na kwao Hana shida. Na mengine mengi tu unayajua. So si lazima afanye kazi ya kuingiza pesa ndio uone anafanya cha maana.
So kutuita magoalkeeper mnakosea.
Na nyie mnaoleta hela tu hamsaidii chochote nyumbani tuwaiteje? Acheni hizo banaaaaa, kila mtu atimize wajibu wake kwa nafasi na uwezo wake, serikali nayo Ina yake ya kutimiza.
Najua hamtanielewa ila mwenzangu. Wonderful na akinaatoto watanisaidia hapa kuwatoeni huko.
Kipindi hiki cha uchaguzi hakika nimegundua wanaume mnapenda vya bure sana. Baada ya uchaguzi kuisha mmekuwa ni watu wa kulalamika.
Kulalamika kwenyewe mnalalamika elimu bure,milo mitatu bure, hadi kufika hatua mnasema kuoa itakuwa ngumu,mimba kukataliwa zitaongezeka,Wanaume ni mmelogwa ama? Ni nini hiki mnashadadia vitu vya bure?.
Halafu bila aibu unajiita kamanda, unajua maana ya kamanda?.
Ulipokuwa unazaa watoto wako hukujua itafika siku watahitaji kusoma,hukujua iko siku utataka kuoa then ujipange?
Mungu katubariki Tanzania kuna opportunity za kumwaga,mwanaume unashindwa kuchangamkia fursa?.
Tuna ardhi nzuri mwanaume unashindwa kujikita kwenye kilimo mashamba yenyewe kijijini kukodi kwa mwaka hadi kwa buku kumi unapata?!
Tangu juzi mmekuwa ni watu wa kuandika vitu visivyo na kichwa wala miguu kwenye mitandao kulialia wakati wanawake wako busy kuchakarika na biashara zao.
Mwanaume mzima kweli unalialia? Unasahau uliambiwa utakula kwa jasho?.
Kuna mwingine akasema nahama Tanzania kweli? kisa umekosa vya bure sasa ndo unapata akili ya kuhama nchi wakati hapo mwanzo hata siku moja hukuwahi kucheki nchi gani ya nje ina opportunity ukachakarike huko?.
Serious Wanaume mmekera sana kipindi hiki cha uchaguzi.Mi nilitegemea mabadiliko ambayo yangewasikitisha kuyakosa ni Sera za Act wazalendo sasa mnasikitika milo mitatu? elimu bure?, afya bure,
HEBU WANAUME FANYENI KAZI.