Jack Daniel's
JF-Expert Member
- May 18, 2015
- 1,008
- 835
Nikimpata wife material.....na nikishajiandaa kisaikolojia kuingia kwenye hiyo taasisi....Tunaenda sawa sasa. Nashukuru.
By the way...lini unaoa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikimpata wife material.....na nikishajiandaa kisaikolojia kuingia kwenye hiyo taasisi....Tunaenda sawa sasa. Nashukuru.
By the way...lini unaoa?
Nakuombea upate "material wife". HahahahNikimpata wife material.....
Nakuombea upate "material wife". Hahahah
Haya bwana kila la kheriWewe naona unataka status yangu isihamie 'married'....hao 'material' nishawazoea wala hamnaga ndoa huko....
Haya bwana kila la kheri
7 years, welcome to the club Mr. JackWewe una mda gani kwenye ndoa? Au ndo wake members mpya....
Wow...7 years, welcome to the club Mr. Jack
Uingie kwenye ndoa au usiingie vyote ni sawa kwangu. Si lazima mtu aoe au aolewe. Unaweza ukaoa na ukajuta kuzaliwa. Suala muhimu ni kuwa na Furaha, utaangalia mwenyewe Furaha unaipata wapi.Wow...
Kwa maoni yako mtu ambaye hana mpango wa kuingia kwenye ndoa unamuona kama anapoteza sana?
Hata mpaka asubuhi nitachat, achana na ndoa za watu, utaumiza kichwa bureSa we umeolewa halafu unachat JF sa hv???
Nenda kwa mumeo uko
Hata mpaka asubuhi nitachat, achana na ndoa za watu, utaumiza kichwa bure
Uingie kwenye ndoa au usiingie vyote ni sawa kwangu. Si lazima mtu aoe au aolewe. Unaweza ukaoa na ukajuta kuzaliwa. Suala muhimu ni kuwa na Furaha, utaangalia mwenyewe Furaha unaipata wapi.
Just follow your heart, usioe kwasababu wenzako wote wameoa au jamii itakutazamaje.
Ndoa Ina raha zake, na karaha zake lukuki.
Ni mawazo yangu tu lakini.
Last time I checked nilikuwa namjibu Mr. Jack Daniel's . sio lazima uniamini mkuu. Sio mahakamani hapa. Naweza kuongea chochote kile, kiwe uongo au ni kweli.Hujaolew ww .....unatuzuga tu humu
KaribuThanks kwa ushauri mzuri na wa wazi.....
Wanasemaga maoni ya mtu kuhusu ndoa inategemea sana na anayokutana nayo.....
Last time I checked nilikuwa namjibu Mr. Jack Daniel's . sio lazima uniamini mkuu. Sio mahakamani hapa. Naweza kuongea chochote kile, kiwe uongo au ni kweli.
Sifai kushauri masuala ya ndoa, nitakupotezaKa vp ntakuja kukuomba ushauri wa ndoa maana nataka kuoa mwakani
Sifai kushauri masuala ya ndoa, nitakupoteza
Ha ha ha kuna watu wamekaa 50 yearsNipoteze ivoivo mn miaka 7 uliokaa ni mingi xnh