Dick Monger
Senior Member
- Apr 1, 2017
- 166
- 235
- Thread starter
- #81
Umepanic mkuu, Tomaso taipu! Nifanye hivyo ili iweje?sio vizuri mwanaume kuanzisha mada ya kike kwa ID ya kike. it's a shame
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepanic mkuu, Tomaso taipu! Nifanye hivyo ili iweje?sio vizuri mwanaume kuanzisha mada ya kike kwa ID ya kike. it's a shame
Jenereta bovuuuu! Au vile vipawa tiller vya kulimiaEehh, anakoroma kama nini vile? [emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]
Acha visingizo mkuu, mchagua jembe si mkulima!Mashine zenyewe mara mkamulie ndimu,mara mzamishe chumba za Heineken mara miko ya kupikia sasa kuna nn hapo
Asante baba!Wanaume tunapishana sana. Kuna wengine huwa wanawahurumia wapenzi zao yaani wanaona kama watawasumbua au kuwaumiza vile kwahiyo hata mashine hapigi fleshi.
Kingine ni style. Mwanamke huwa ana style yake ya kumpa raha, Unaweza ukapiga hata masaa 3 lakini akakuambia hajaridhika. Ukishajua anapenda style gani unasimamia hapo. Unapewa mpaka asante
Hujaelewa nini hapa mkuu, ndo maana nikasema nimetulizanana kababa chanja kangu! kanajua majukumu yake, hebu rudia kusoma tena between lines!Ushauri: Ananiumiza Tukigegedana, Natamani Kumwacha
Jamani mapenzi ni matamu hasa ukimpata mjuzi wa mambo lakini mimi nina tatizo, naombeni ushauri. Mwanzoni mwa mwaka huu, kuna kaka nimekutana naye, akanitongoza na baadaye tukaanzisha uhusiano. Kiukweli nilimkubalia siyo kwa sababu nampenda, bali nilikuwa kwenye kipindi kigumu sana kihisia kwa...www.jamiiforums.com
Sasa wewe una msongo mkubwa wa mawazo...tukuelewe vipi .. unataka kipi
Wa mkoani wanaoweza wanahesabika, na hata Dar siyo wote wachovu, kababa chanja kangu kanatokea Kinondoni lakini wee wee weee!"Hedingi" isomeke hivi,wanaume uliokutana nao hawakufikishi,ni pm nikupe vitu vya mkoani
Matango tena? Noop!wamemwonea huruma, dk 3 kapeleka mkono kwa bibi ingekuwa 30 angeza hata kutumia matango
Heshima yako mkuu, nakusalimia!Nashukuru Mungu pasipo kutumia madawa au kilevi chochote show inasongeshwa with full control. Nikitaka dk.20,30,40 au zaidi ni mimi tu na vibe langu 😆😆😆. Kwa heshima na taadhima sihusiki na kikombe hiki cha mtoa mada.
Umepanic mkuu, na wewe ndiyo zako? Ndiyo maana mnatuona kuwa wasaliti kwa sababu ya ugoigoi wenu na mkiona mada mnakimbilia kutoa matusi badala ya kuangaikia tibaSikuwah kuwaza kama jf pia kutakuwa na jamii za watu wa instagram....
Hizi ni dalili za ushoga...
Huyo wa dakika tatu ndio mwanaume sasa. Fastafasta apate mud awa kupumzika awahi kuamka akazisake. Sio jitu linakesha kifuani kama kaahidiwa tuzo na pesa halina[emoji57][emoji57][emoji57]
Aleykum salaamHeshima yako mkuu, nakusalimia!
Sasa apo kwenye mabwawa na ubarid ndo tunasema izo nyenzo sio supportive ili kuleta uo utamu na ndo maana wengine wanatumia mkono tu coz wanaushape ili uweze kuwa support japo natural k ndo imeumbwa kwa ajili hiyo.Tumieni mikono basi, ingekuwa hivyo msingekuwa mnalalamikia k za baridi sijui mabwawa na upuuzi mwingine
yaani nimeshang`a huu mwandikoStori ni kama yako mwenyewe ila umeamua kuigeuza geuza...
Halafu mwandiko wa dume dume
Umepanic mkuu, na wewe ndiyo zako? Ndiyo maana mnatuona kuwa wasaliti kwa sababu ya ugoigoi wenu na mkiona mada mnakimbilia kutoa matusi badala ya kuangaikia tiba