Wanaume Mnakwama Wapi? Yaani Dakika 3, Chali

Wanaume Mnakwama Wapi? Yaani Dakika 3, Chali

Ishu ni kwamba wanawake wengi hupenda kuandaliwa nyinyi tu wakati wa tendo! Na siyo nyie kuwaandaa wapenzi wenu na ndio maana wanaume wengi tunafeli wakati wa tendo.
 
Yaani hautaki kujibu swali unazunguka tu kama hauna majibu sema nimekuuliza kati ya mwanamke anayejua na asiyejua utamchagua yupi? Na ukimchagua anayejua kwanini umchague huyo wakati utamu unajipa mwenyewe?

Na hata hivyo kwanini mara nyingi wanaume huwa mnachepuka kwa kisingizio cha kwamba wake zenu hawana ufundi kitandani ila michepuko yenu inao? Kwanini?
shida ni kwamba hadi nijue huyu ni fundi na huyu sio, ni mpaka nishiriki nae tendo, so nakosa direct answer🙂🙂🙂🙂
 
We naye una visingizio vya ajabu kwani ninyi wanaume mnahitaji kuandaliwa? Kama huwa mnasimamisha kwa kuyatazama tu maungo ya ndani ya mwanamke kuna haja gani ya ninyi kuandaliwa? Sisi hisia zetu ziko mbali bila kuandaliwa tunaumia tu tofauti na ninyi hamuwezi kuumia eti kwa sababu hamjaandaliwa
Ishu ni kwamba wanawake wengi hupenda kuandaliwa nyinyi tu wakati wa tendo! Na siyo nyie kuwaandaa wapenzi wenu na ndio maana wanaume wengi tunafeli wakati wa tendo.
 
Kwaio ulikua na mahusiano na wanaume wawili kwa wakati mmoja...mara ya mwisho umepima ukimwi lini
Kuna watu wagumu sana wa kuelewa, hivi darasani ulikuwa unapataga ngapi vile?
 
shida ni kwamba hadi nijue huyu ni fundi na huyu sio, ni mpaka nishiriki nae tendo, so nakosa direct answer🙂🙂🙂🙂
Sasa tufanye umeshawaonja wote wawili halafu unataka uchague mmoja wa kuoa kati yao sifa zao nyingine zote zinafanana ila tofauti yao ni kwamba tu mmoja ni fundi na mwingine siyo fundi utachagua yupi? Na pia huyo utakayemchagua hautamsaliti?
 
these things ''show dakika moja, wanaume wa dar , kibamia'' at some point there true but most of them there over exaggerated by some of women.. maybe to make a man look weak though there some man they really have problems and these issues make them feel more useless not also them but also who dont have the problem start seeing things differently even its normal and because of that they develops anxiety and became a problem..first a women who loves his man he never revealed his secret especially in bed..and you because your a psychopath i guess who just peep to the other womens room...if this story is real youre a bitch
Dah! Mmemuelewa huyu mtu jamani? Kwa nini usiandike Kiswahili tu, poor you!
 
Kwaio ulikua na mahusiano na wanaume wawili kwa wakati mmoja...mara ya mwisho umepima ukimwi lini
Kwani wanaume hamnaga wanawake zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja? Utasikia mwanamke hatakiwi kushindana na mwanaume jibu swali usinipe hiyo sababu
 
Naandika kwa masikitiko, yaani najihisi kama mimi ndiyo nimetendewa ukatili huu! Stori ipo hivi, juzikati nilimtembelea shoga'angu mmoja ambaye anaishi Sinza, stori zikanoga huko na kwa sababu sikuwa na kitu cha msingi cha kunifanya nirudi kwangu, hasa kwa kuwa ilikuwa wikiendi, nikaamua ngoja nilale tu! Maisha fulani hivi ya uswahilini japo siyo sana lakini nili-enjoy sana.

Tangu nimefika hapo kwa huyo shoga'angu, kuna mpangaji mwenzake, dada mmoja black hivi, ana shepu kali japo hajanizidi, usoni mrembo kiasi na kichwani ameweka rough dread fulani hivi, nikatokea kumpenda mashaalah, moyoni nikawa najiambia ningekuwa mwanaume ningemtokea nikafaidi mema ya nchi!

Mdada anaishi na lijamaa fulani hivi, kwa nje linaonekana gentleman fulani japo siyo pigo zangu, stori za hapa na pale basi tukawa tumezoeana. Chumba chao kilikuwa kimefuatana na chumba cha shogaangu. Basi usiku muda wa kulala ukafika, usingizi ulikuwa mbali kidogo kwa sababu mi huwa nikilala nje na kwangu huwa nachelewa kulala, ndivyo nilivyo.

Mida kama ya saa tanotano hivi, kukiwa kumetulia, nilianza kusikia mazungumzo ya ile njemba ya yule jirani yetu, ikibembeleza mchezo! Udhaifu wangu mimi ndiyo huo, ngoma inaweza kuwa inachezwa mtaa wa saba lakini mateso nayapata mimi! Basi lilivyokuwa likinguruma likiomba mchezo, nikawa najihisi kama ndiyo mimi nabembelezwa, basi nikawa najigeuzageuza mkono ukiwa kwa 'bibi' nikimsabahi (wanawake watakuwa wanajua vizuri inavyokuwa).

Mara makiss-kiss, mara nasikia maromance kama yote, chungu kikalowa, hoi mimi! Nikawa natamani baba chanja wangu angekuwa karibu anitibu maradhi yangu! Huku na kule, jamaa si likaweka, niligundua kutokana na miguno ya utamu ya bibie, nikawa nazidi kuugulia, purukushani zikawa nyingi, kitanda kikawa kinalalamika huku bibie akiendelea kutoa miguno, mara waaaaa! hata dakika tatu hazijakamilika njemba inagugumia kuonesha wazungu wameshatoka!

Ukimya ukatawala, mara stori zikaanza kusikika chini kwa chini, inaonesha ni kama bibiye alikuwa analalamika kwamba mwenzio mbona bado we tayari! Jamaa likawa linazugazuga na kuchekacheka, dakika chache baadaye likawa linakoroma kama jerenera bovu, mxiew!

Hivi mijanaume mingine ipoje jamani? Yaani unapiga shoo chini ya dakika tatu ushamaliza kila kitu, hata utamu wa kitumbua unakuwa umeufaidi kweli hapo? Kuchoshana na kupakazana shombo tu, mi jitu la namna hii la kazi gani? tena kama umekuja kwangu, hakyanani hulali, usiku huohuo nakufurumusha ukalale kwenu.

Raha ya mgegedo unapigwa paipu mpaka ukienda maliwato unaogopa kujimwagia maji, bibi anawaka moto kwelikweli! genye zote kwishnei, ndo maana nimetulizana na kibaba changu cha nguvu, kinanipelekea moto mpaka maji nayaita mma!

Hamwuishi kulalamika. Hizi habari ni zako mwenyewe. Mmekuewa mnatumia midoli mpaka umewaletea sugu sasa unategemea mtu kama wewe ambaye sehemu zako zina magamba utaisi kukunwa kweli?

Acheni kutumia midoli
 
We naye una visingizio vya ajabu kwani ninyi wanaume mnahitaji kuandaliwa? Kama huwa mnasimamisha kwa kuyatazama tu maungo ya ndani ya mwanamke kuna haja gani ya ninyi kuandaliwa? Sisi hisia zetu ziko mbali bila kuandaliwa tunaumia tu tofauti na ninyi hamuwezi kuumia eti kwa sababu hamjaandaliwa
Uwezi juwa wapo wanaume wenye hisia za mbali pia
 
Hivi kati ya mwanamke aliyekuwa anapewa pesa halafu akaachwa na yule aliyekuwa hapewi pesa halafu akaachwa nani ana afadhali? Yaani kati ya yule aliyekuwa anagegedwa kwa pesa na yule aliyekuwa anagegedwa bure nani kashushwa thamani sasa hapo?

Eti kwenye hii mada ndo unanataka ujifanye unaijua sana thamani ya mwanamke wakati kutwa mnawachezea huko acheni wawachune tu kwa kweli mngekuwa mnazijua thamani za wanawake msingekuwa mnawatongoza hovyo huku mkijua kabisa kuwa hamna malengo ya kuwaoa mnataka kupiga na kusepa tu
Kama una mume basi ndoa yako iko ICU au upo kundi moja na Joyce Kiria.

Unaendekezwa ubishi mwingi usiokuwa na msingi.
 
Wote wanachezewa lakini yupi mwenye afadhali? Yaani hapo nataka kujua yupi mwenye afadhali hata msizunguke sana sijui thamani sijui umalaya semeni yupi mwenye afadhali?
Kwenye kuchezewa hakuna afadhali. Yaani kwa kuwa wewe upo after money basi unaona upo safe.
 
Back
Top Bottom