Wanaume Mnakwama Wapi? Yaani Dakika 3, Chali

Wanaume Mnakwama Wapi? Yaani Dakika 3, Chali

Naandika kwa masikitiko, yaani najihisi kama mimi ndiyo nimetendewa ukatili huu! Stori ipo hivi, juzikati nilimtembelea shoga'angu mmoja ambaye anaishi Sinza, stori zikanoga huko na kwa sababu sikuwa na kitu cha msingi cha kunifanya nirudi kwangu, hasa kwa kuwa ilikuwa wikiendi, nikaamua ngoja nilale tu! Maisha fulani hivi ya uswahilini japo siyo sana lakini nili-enjoy sana.

Tangu nimefika hapo kwa huyo shoga'angu, kuna mpangaji mwenzake, dada mmoja black hivi, ana shepu kali japo hajanizidi, usoni mrembo kiasi na kichwani ameweka rough dread fulani hivi, nikatokea kumpenda mashaalah, moyoni nikawa najiambia ningekuwa mwanaume ningemtokea nikafaidi mema ya nchi!

Mdada anaishi na lijamaa fulani hivi, kwa nje linaonekana gentleman fulani japo siyo pigo zangu, stori za hapa na pale basi tukawa tumezoeana. Chumba chao kilikuwa kimefuatana na chumba cha shogaangu. Basi usiku muda wa kulala ukafika, usingizi ulikuwa mbali kidogo kwa sababu mi huwa nikilala nje na kwangu huwa nachelewa kulala, ndivyo nilivyo.

Mida kama ya saa tanotano hivi, kukiwa kumetulia, nilianza kusikia mazungumzo ya ile njemba ya yule jirani yetu, ikibembeleza mchezo! Udhaifu wangu mimi ndiyo huo, ngoma inaweza kuwa inachezwa mtaa wa saba lakini mateso nayapata mimi! Basi lilivyokuwa likinguruma likiomba mchezo, nikawa najihisi kama ndiyo mimi nabembelezwa, basi nikawa najigeuzageuza mkono ukiwa kwa 'bibi' nikimsabahi (wanawake watakuwa wanajua vizuri inavyokuwa).

Mara makiss-kiss, mara nasikia maromance kama yote, chungu kikalowa, hoi mimi! Nikawa natamani baba chanja wangu angekuwa karibu anitibu maradhi yangu! Huku na kule, jamaa si likaweka, niligundua kutokana na miguno ya utamu ya bibie, nikawa nazidi kuugulia, purukushani zikawa nyingi, kitanda kikawa kinalalamika huku bibie akiendelea kutoa miguno, mara waaaaa! hata dakika tatu hazijakamilika njemba inagugumia kuonesha wazungu wameshatoka!

Ukimya ukatawala, mara stori zikaanza kusikika chini kwa chini, inaonesha ni kama bibiye alikuwa analalamika kwamba mwenzio mbona bado we tayari! Jamaa likawa linazugazuga na kuchekacheka, dakika chache baadaye likawa linakoroma kama jerenera bovu, mxiew!

Hivi mijanaume mingine ipoje jamani? Yaani unapiga shoo chini ya dakika tatu ushamaliza kila kitu, hata utamu wa kitumbua unakuwa umeufaidi kweli hapo? Kuchoshana na kupakazana shombo tu, mi jitu la namna hii la kazi gani? tena kama umekuja kwangu, hakyanani hulali, usiku huohuo nakufurumusha ukalale kwenu.

Raha ya mgegedo unapigwa paipu mpaka ukienda maliwato unaogopa kujimwagia maji, bibi anawaka moto kwelikweli! genye zote kwishnei, ndo maana nimetulizana na kibaba changu cha nguvu, kinanipelekea moto mpaka maji nayaita mma!

I see....you are Mr Dick Monger!

A man pretending to be a woman!

Kiutani utani utagawa azz sasa hivi!
 
Mnakutana na wala viepe au wagonjwa ndiyo mnatujumuisha wanaume wote.

Hamfanyi fair aisee
 
Uwezi juwa wapo wanaume wenye hisia za mbali pia
Kwenye haya mambo ndo mnakubali kuwa kuna wanaume wenzenu wana hisia za mbali ila kwenye mambo mengine hao hao wanaume wenzenu wenye hisia za mbali huwa mnawakejeli na kusema kuwa hawana nguvu za kiume haki ya nani maajabu hayatakaa yaishe duniani
 
Hahahaha nimeshawazoea mkikosa hoja huwa mnaishia kuja na haya maneno kama defensive mechanism yenu anyway for your kind information sina mume msaliti wala mnyanyasaji sasa kwanini nipigizane naye kelele?

Mnadhani tunavyobishana na ninyi wavulana wa humu ndivyo tunavyobishana na waume zetu ndani? Tunawasikitikia tu wake zenu kwa kuolewa na hasara maana wengine hapa waume zetu wanajielewa hawana mitazamo ya kitoto kama baadhi ya wanaume wa humu JF

Yaani wanaume wengi mnadhani uanaume ni kuwa na uume tu basi jamani ee siyo kila mwanaume anafaa kuwa kichwa cha familia na siyo kila mwanaume ana sifa za kuwa mume kwenye msafara wa mamba lazima na kenge wawemo kwahiyo wapo watu wameoa lakini hawana sifa za kuwa waume ni wavulana ila na wao wanajiita wanaume

Sasa kama mwanaume msaliti na mnyanyasaji kwanini mkeo akuheshimu na kwanini asikupande kichwani? Hebu mpe sababu maana hakuna mwanamke anayekubali kuongozwa na mwanaume asiyejielewa labda kama na huyo mwanamke naye hajielewi ila tatizo linakuja hapa hata wale wanaume wasiojielewa nao hawataki kukubali kwamba hawajielewi na wao wanang'ang'ania kuwa mamba wakati wao ni kenge yaani ni kama tu ambavyo vichaa hawakubali kuwa wao ni vichaa lakini hilo halibadilishi ukweli kuwa wao ni vichaa ni ngumu kumeza ila ndo ukweli mchungu na ndo dawa yenyewe
Kama una mume basi ndoa yako iko ICU au upo kundi moja na Joyce Kiria.

Unaendekezwa ubishi mwingi usiokuwa na msingi.
 
Swala hapa siyo kuwa safe au kutokuwa safe ila hoja kuu ya msingi hapo ni kwamba angalau na wanaume nao wawe na cha kupoteza (pesa) siyo wanawake tu ndo wapoteze (muda) maana mwanaume ukigegeda bure tu bila kutoa pesa halafu mkaachana anayepoteza ni mwanamke mwanaume unakuwa hauna cha kupoteza

Kwahiyo wakati wewe unampotezea muda wake ambao angepata mtu wa wa kumuoa na yeye anaamua tu kukupotezea pesa zako ambazo ungefanyia mambo ya msingi kwani wewe shida yako nini si unataka papuchi? Basi hudumia kama hautaki au hauwezi kuhudumia baki na hamu zako au kitulize ndani na mkeo kwani umelazimishwa kuwa mzinzi au muasherati?
Kwenye kuchezewa hakuna afadhali. Yaani kwa kuwa wewe upo after money basi unaona upo safe.
 
Kuna watu wagumu sana wa kuelewa, hivi darasani ulikuwa unapataga ngapi vile?
Mambo ya darasani yanaingiliana vipi hapa, mimi nikuite wewe ni kigeugeu na hujui unachokitaka, mwanaume anakojoa dk 2 chali, umekimbia, mara akaja mwanaume anatumia mda mrefu na alikua akikukuna vizuri kulingana na maelezo yako lakin umemkimbia, sasa tukueleweje basi uwe lesbian
 
Mzee mwenzangu mzee mwenzangu nina ubuyu
Mzee mwenzangu mzee mwenzangu tuumenye
Mzee mwenzangu mzee mwenzangu wazungu hao
Mzee mwenzangu mzee mwenzangu dakika ya ngapi?




Tatizo hilo.
 
Naandika kwa masikitiko, yaani najihisi kama mimi ndiyo nimetendewa ukatili huu! Stori ipo hivi, juzikati nilimtembelea shoga'angu mmoja ambaye anaishi Sinza, stori zikanoga huko na kwa sababu sikuwa na kitu cha msingi cha kunifanya nirudi kwangu, hasa kwa kuwa ilikuwa wikiendi, nikaamua ngoja nilale tu! Maisha fulani hivi ya uswahilini japo siyo sana lakini nili-enjoy sana.

Tangu nimefika hapo kwa huyo shoga'angu, kuna mpangaji mwenzake, dada mmoja black hivi, ana shepu kali japo hajanizidi, usoni mrembo kiasi na kichwani ameweka rough dread fulani hivi, nikatokea kumpenda mashaalah, moyoni nikawa najiambia ningekuwa mwanaume ningemtokea nikafaidi mema ya nchi!

Mdada anaishi na lijamaa fulani hivi, kwa nje linaonekana gentleman fulani japo siyo pigo zangu, stori za hapa na pale basi tukawa tumezoeana. Chumba chao kilikuwa kimefuatana na chumba cha shogaangu. Basi usiku muda wa kulala ukafika, usingizi ulikuwa mbali kidogo kwa sababu mi huwa nikilala nje na kwangu huwa nachelewa kulala, ndivyo nilivyo.

Mida kama ya saa tanotano hivi, kukiwa kumetulia, nilianza kusikia mazungumzo ya ile njemba ya yule jirani yetu, ikibembeleza mchezo! Udhaifu wangu mimi ndiyo huo, ngoma inaweza kuwa inachezwa mtaa wa saba lakini mateso nayapata mimi! Basi lilivyokuwa likinguruma likiomba mchezo, nikawa najihisi kama ndiyo mimi nabembelezwa, basi nikawa najigeuzageuza mkono ukiwa kwa 'bibi' nikimsabahi (wanawake watakuwa wanajua vizuri inavyokuwa).

Mara makiss-kiss, mara nasikia maromance kama yote, chungu kikalowa, hoi mimi! Nikawa natamani baba chanja wangu angekuwa karibu anitibu maradhi yangu! Huku na kule, jamaa si likaweka, niligundua kutokana na miguno ya utamu ya bibie, nikawa nazidi kuugulia, purukushani zikawa nyingi, kitanda kikawa kinalalamika huku bibie akiendelea kutoa miguno, mara waaaaa! hata dakika tatu hazijakamilika njemba inagugumia kuonesha wazungu wameshatoka!

Ukimya ukatawala, mara stori zikaanza kusikika chini kwa chini, inaonesha ni kama bibiye alikuwa analalamika kwamba mwenzio mbona bado we tayari! Jamaa likawa linazugazuga na kuchekacheka, dakika chache baadaye likawa linakoroma kama jerenera bovu, mxiew!

Hivi mijanaume mingine ipoje jamani? Yaani unapiga shoo chini ya dakika tatu ushamaliza kila kitu, hata utamu wa kitumbua unakuwa umeufaidi kweli hapo? Kuchoshana na kupakazana shombo tu, mi jitu la namna hii la kazi gani? tena kama umekuja kwangu, hakyanani hulali, usiku huohuo nakufurumusha ukalale kwenu.

Raha ya mgegedo unapigwa paipu mpaka ukienda maliwato unaogopa kujimwagia maji, bibi anawaka moto kwelikweli! genye zote kwishnei, ndo maana nimetulizana na kibaba changu cha nguvu, kinanipelekea moto mpaka maji nayaita mma!

Standard time ni dk 3, ila ukiona mtu anazidisha hapo labda ni round ya pili na kuendelea au kama ni ya kwanza na akazidisha... jua anaogelea au papuchi sio tamu
 
Dakika 3! Ukiona hivyo huyo mwanaume hakupendi ana kutumia tuu!
 
Wote wanachezewa lakini yupi mwenye afadhali? Yaani hapo nataka kujua yupi mwenye afadhali hata msizunguke sana sijui thamani sijui umalaya semeni yupi mwenye afadhali?
Hakuna mwenye afadhali hapo, wote sawa tu
 
Hahahaha nimeshawazoea mkikosa hoja huwa mnaishia kuja na haya maneno kama defensive mechanism yenu anyway for your kind information sina mume msaliti wala mnyanyasaji sasa kwanini nipigizane naye kelele?

Mnadhani tunavyobishana na ninyi wavulana wa humu ndivyo tunavyobishana na waume zetu ndani? Tunawasikitikia tu wake zenu kwa kuolewa na hasara maana wengine hapa waume zetu wanajielewa hawana mitazamo ya kitoto kama baadhi ya wanaume wa humu JF

Yaani wanaume wengi mnadhani uanaume ni kuwa na uume tu basi jamani ee siyo kila mwanaume anafaa kuwa kichwa cha familia na siyo kila mwanaume ana sifa za kuwa mume kwenye msafara wa mamba lazima na kenge wawemo kwahiyo wapo watu wameoa lakini hawana sifa za kuwa waume ni wavulana ila na wao wanajiita wanaume

Sasa kama mwanaume msaliti na mnyanyasaji kwanini mkeo akuheshimu na kwanini asikupande kichwani? Hebu mpe sababu maana hakuna mwanamke anayekubali kuongozwa na mwanaume asiyejielewa labda kama na huyo mwanamke naye hajielewi ila tatizo linakuja hapa hata wale wanaume wasiojielewa nao hawataki kukubali kwamba hawajielewi na wao wanang'ang'ania kuwa mamba wakati wao ni kenge yaani ni kama tu ambavyo vichaa hawakubali kuwa wao ni vichaa lakini hilo halibadilishi ukweli kuwa wao ni vichaa ni ngumu kumeza ila ndo ukweli mchungu na ndo dawa yenyewe
My dear you just need some
Late night attention, unconditional
and all that you're missing, my babe
 
Swala hapa siyo kuwa safe au kutokuwa safe ila hoja kuu ya msingi hapo ni kwamba angalau na wanaume nao wawe na cha kupoteza (pesa) siyo wanawake tu ndo wapoteze (muda) maana mwanaume ukigegeda bure tu bila kutoa pesa halafu mkaachana anayepoteza ni mwanamke mwanaume unakuwa hauna cha kupoteza

Kwahiyo wakati wewe unampotezea muda wake ambao angepata mtu wa wa kumuoa na yeye anaamua tu kukupotezea pesa zako ambazo ungefanyia mambo ya msingi kwani wewe shida yako nini si unataka papuchi? Basi hudumia kama hautaki au hauwezi kuhudumia baki na hamu zako au kitulize ndani na mkeo kwani umelazimishwa kuwa mzinzi au muasherati?
My dear you just need some
Late night attention, unconditional
and all that you're missing, my babe
 
Back
Top Bottom