Wanaume mnaoenda chini ya dakika 30, hivi mnajielewa kweli?

Wanaume mnaoenda chini ya dakika 30, hivi mnajielewa kweli?

labda nikusaidie kitu dada angu haya maswala ya mapenzi wengi wana yaongelea kinadharia tu na si uhalisia ndio maana wengi wanapotoshwa,
Kwanza unatakiwa ujue swala la mapenzi lina varies kutokana na mtu na mtu na kila mtu ana hisia zake,

Lakini ukiona mwanamke hadi dk 20 bado hajafika kileleni na mkunaji anakuna kisawasawa basi lazima naye atakuwa na matatizo sababu lazima tukubali hata wanawake pamoja na kelele zenu mlio wengi hamjijui kama mna matatizo ya kufika kileleni na ndio maana kuna wengine unaweza tumiaa hata masaa nane na bado hajafika halafu nayeye anakuja kulalamika eti sifikishwi lol!

Kuna wanawake wengine hata hizo dk 10 nyingi kwake na huenda ndani ya dk 10 akawa kapizi hata mara mbili sabahu swala la mapenzi lina mambi mengi likiwemo hisia pamoja na ujuzi , lakini ujuzi bila hisia nikazi bure,

Hivyo usikalili tu nusu saa unaweza ukawa una long sex drive na mwingine ni short sex drive hivyo swala la mapenzi halina kanuni sijui saa moja mara nusu saa mara dk 10 hizo ni nadharia tu.

Ukweli ni kwamba swala la mapenzi lina tengemea maumbile ya mtu na mtu, mwingine hizo dk 30 ni mateso kwake maana wanawake wengine akisha pizi mara moja tu na hisia zote zimeisha hata ufanyaje utamuumiza tu maana hatotoa lubricant tena na ndivyo alivyo umbwa so huwezi kumlazimisha kwenda nusu saa au saa moja
Hivyo angalia usije ukawa una sugu ukeni halafu unawatupia lawama wanaume kumbe wewe ndio tatizo maana uuke nao ni mwili na unadhurika kama sehemu zingine.
 
Ww unapenda ufanywaje uone kweli jamaa kashughulika?!...saa nyingine u av to talk to him umwambia nn unataka

Ashughulike ipasavyo,anaweza kwenda moja nikajikuta niko poa kabisa,bao moja masaa3 kiwasho chote kinaisha{Tumieni vizuri dyudyu zenu}
 
haha nilijua tu wapo watakao nigeuzia kibao na hao ndio wahusika kama wewe..sijajumuisha wanaume wote ni baadhi elewa somo na jitahidi ufike 30 mins walau
Hahahahahaaaa Bi Brenda18 inaonekana unajihami...
Haiwezekani ikatokea ukawa msemaji wao bila kuwepo sababu!!!!
 
Ashughulike ipasavyo,anaweza kwenda moja nikajikuta niko poa kabisa,bao moja masaa3 kiwasho chote kinaisha{Tumieni vizuri dyudyu zenu}

Acha utani wewe.
masaaa matatu unajua ni dakika ngapi? mpira wenyewe hata timu za madrid na barcelona hazifikishi masaa yote hayo japo wana watu waloajiriwa kwa shuguli hiyo kutwa ni mazoezi.

nijitese masaa matatu natafuta nini ukute kutwa nzima nimehangaika na kazi zangu.

nikiingiza tu natema mbegu nasepa. nafanya kwa sababu za kibaolojia tu wala siyo sex machine.
 
Haya ndio madhara ya zinaa....
Zinaa huondoa haya na aibu kwenye nyuso za wanadamu...
Zinaa hupunguza umri wa kuishi....
Zinaa humfanya mtu atoke katika hali ya ubinaadamu na kuingia katika unyama....
Mwenyezi Mungu alipohalalisha ngono kwa watu wenye uhalali hakuwa na maana ya kutaka kutunyima kufaidi tamu ya dunia bali ni katika kutuepusha na mabalaa ya dunia......
Kutakuwa na ndoa ya aina gani ikiwa mwanamke ana historia ya kuingiliwa na wanaume zaidi ya kumi...
Kutakuwa na ndoa ya aina gani ikiwa mwanaume amezoea kuwaingilia wanawake tofauti kila uchao....
Hakuwezi kuwa na ndoa kwani kila mmoja atakuwa anaringanisha na kule alipotoka....

Mwanamke akiolewa akiwa hakuwahi kuingiliwa na mwanaume yeyote hata mumewe awe na maumbile madogo kiasi gani haitampa shida kwani ndio mwanaume pekee anayemjua.....na atajua kuwa wanaume wote wapo hivyo....

Vivyo hivyo kwa mwanaume ikiwa hajawahi kumuingilia mwanamke yoyote isipokuwa mkewe hata mkewe awe na kasoro gani ya kimaumbile haiwezi kumpa shida....kwani atajua kuwa wanawake wote wapo hivyo.....

Watu wote wangekuwa wanafuata maandiko ya mwenyezi Mungu kuhusu ndoa wala kusingekuwa na malalamiko ya wanawake wakilalamikia kutofikishwa wala wanaume wanaolalamikia kasoro za wanawake.....
khaaaaa na social media zote hizi ajue wanaume wote ndivyo walivyo.??
 
yupi bora kati ya anayekusugua dakika 10 akakupa mimba na yule anayekusugua zaidi ya dakika 30 na asikupe mimba?
 
hili tatizo hata kwa above 30yrs lipo,
inafika mahali unaona bora uache tu kufanya,
manake ni kero.
Mmmh., lazima ufaham sex inataka akili na moyo viwe oky..,Mwanaume au Mwanamke umri unavyozidi kusonga ham ya tendo hupungua kutokana na stress na majukumu..,
Mjenge mtu wako kila anapokuona afurahie kusex na ww..,
 
Sasa aunt kwani bwana mkubwa amekuwa sex machine? Anagonga tu kwa sababu za kibaiolojia, km Unataka 90 minutes niPm nikupe namba za njemba moja akupije dyudyu hadi uimbe kifizikia! Kazi kwako!!!
 
Back
Top Bottom