Af,watu wengine nawashangaaga sana. Kwanza kabisa ina maana we tayari profeshino;unajua ndefu,fupi,nene na nyembamba. Leo akija mwenye ndefu unataka na wa pana. Af pia,kama unaona dakika 10,si kitu, lazima hata akija wa masaa 2 utahitaji na wa masaa sita. akija utahitaji na wa kutwa nzima.Hivyo basi,badhi yenu ni watumwa wa ngono.Tatizo siyo muda. Pili,sasa,ungemuomba mmeo ajilekebishe ningekuelewa. Ila wanaume kwa ujumla! Noma sana. Tatu sasa, wewe umekuja kibiashara.Bia umepewa au hela,na mi nataka mgegedo.Shida yako bia au pesa,na mi shida yangu kumwaga oil chafu.Sasa unataka nijikaange umelipia wewe!Yaani kama ni mimi nakuchana live,unataka starehe,na wewe gharamika.