Wanaume mnaofunga PM na Details zenu, mko sawasawa kweli?

Wanaume mnaofunga PM na Details zenu, mko sawasawa kweli?

Nafikiri sura yako inafanana na huo mchoro wa binti aliyebinjua mdomo uliyemuweka.
 
kwan kwenye hz PM za wanaume unatafuta nini we binti, kilimo cha mpunga au ?
 
we dada wewe em kunywa supu apo naja kulipa....
af ukome kufatilia maisha ya watu!!
Kwan we yanakuusu nini account yangu
bando langu af we ni nan kunpangia

pumbafu
 
we dada wewe em kunywa supu apo naja kulipa....
af ukome kufatilia maisha ya watu!!
Kwan we yanakuusu nini account yangu
bando langu af we ni nan kunpangia

pumbafu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Doohh kweli imekusumbua sana hii asee.. ila kuna watu wanaboa jf lakini siez kuwawekea ignore list na hata kufunga pm sababu ya watu..

Ila vipi ulitaka kuingia PM ya mtu ukakuta kufuri nini..
 
Eti utakuta mwanaume mzima, na akili zake timamu na kwa makusudi kabisa anafunga Pm yake.
Hivi naomba kuuliza, wewe mwanaume unafunga Pm ili iweje?
Unaogopa kutongozwa Pm au unaogopa kuombwa pesa huko Pm.

Hongera kwa wanaume woote wasiofunga Pm na Details zao.
Nyie mliobaki, huo ni Umama mnaoleta.

Yaani nikiona dume zima linafunga Pm huwa najiuliza mara mbilimbili, ni mzima kweli au kuna makucha anaficha!
Unaanzaje kufunga Pm na unamfungia nani hiyo Pm?
Pesa huna tuseme tutakuomba,
Sura huna,
Mvuto huna,
Pozi huna,
Kazi huna,
Maisha yako hayaeleweki.
...unafunga Pm ya nini?
Fungua upate madili.
Mtakosa vingi kwa umama wenu.

Pm acheni wafunge wadada, nyie wanaume ni kupambana hukohuko.
Wanaume woote mnaofunga Pm, mjue nimewadharau sana.
Na siwapendi hata.

Eti dume zima linaongelea kuhusu ignore list jukwaani.
Anaomba afundishwe jinsi ya kutumia kitufe cha ignore list....huoni aibu wewe!!! vingine jifunze mwenyewe ukiwa umejifunika na shuka kitandani.

Unataka kumuweka nani huko, au una account yako ya M-pesa huko ignoreni?
Mwanaume wa kweli hamuweki mtu Ignore list..bali anapambana nae hoja kwa hoja, jiwe kwa jiwe, chaka kwa chaka na pori kwa pori
Mwanaume wa kweli hafungi Pm hata kwa sekunde moja.

Ujumbe wangu ndo huo.
Povu lenu nipeni nikafulie mashuka nikiamka asubuhi.
View attachment 882875
Kumbe wewe Ni ke [emoji848]
 
Mkuu umejaribu nayangu pia????

Unafanya biashara gani kutembelea kila PM ya Mwanaume???

Daahhhhhh zama kweli zimebadilika
 
Back
Top Bottom