Wanaume mnaojitafuta anzisheni familia mkishajipata, mnaharibu maisha ya watu na kutengeneza single mothers wengi

Wanaume mnaojitafuta anzisheni familia mkishajipata, mnaharibu maisha ya watu na kutengeneza single mothers wengi

Hayanaga mwongozo! 🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

Cc. Mahondaw

Screenshot_20240311_160953_WhatsApp.jpg
 
Tatizo la vijana wa kiume ni lipi? Wanawabaka hao singo Maza?
Hatuongelei vijana wa kiume na single mothers tunaongelea vijana wa kiume wanaoleta hao single mothers.

And yes its true hawabakwi, (japo kuna wanaobakwa pia), ila baada ya binti kupata ujauzito eidha kwa kukubaliana au bahati mbaya kijana wa kiume ndiye wa kwanza kukimbia kukwepa majukum

Kweli si kweli?
 
Kwa wazaz wa zaman ni kumshika baba makalio hadharani..
Sometimes hata wazazi wa siku hizi wanachangia mabinti zao wao Masingle Mother. Unakuta binti hana shughuli yoyote ya kumwingizia kipato au anayo ila kipato anacho ingiza ni cha kawaida sana.Ila vitu anavyo miliki yule binti ni vya gharama na unakuta anampa mzazi wake hela nyingi au vitu vingi vya gharama, mzazi hajiulizi binti yake hela kaitolewa wapi,je zawadi inaendana na kipato cha shughuli yake.

Wazazi wanazipokea na wanaona binti yao kayapatia maisha, wanaopenda kupokea zawadi/fedha ni wakina mama ila siku hizi mpaka madingi nao wapo kwenye mkumbo huo. Ndio maana mabinti zao wanapopata mimba inabidi wawe wapole na kukaa nao nyumbani.

Ila wazee wazamani binti yake akimpatia zawadi hata ile ndogo au hata fedha atataka kujua ameitoa wapi na hato ishia hapo atachunguza kujua source ya mapato yake na akishaijua kwamba ni mwanaume, hiyo zawadi hatoichukua na atamripoti kwa Baba yake. Wazazi wa zamani walikuwa wanapokea zawadi kutoka kwa wakwe zao waliokwisha kutoa mahali.

Siku hizi tunaishiishi hatuna miiko na sheria kwenye familia zetu yaani hovyo hovyo. Ila wazee wazamani hata kijana wake wakiume akimuona kishaanza kudate na wanawake. Anamwita na kumpa ukweli kwamba,hao wanawake anao wagonga kila siku, siku akimpa mimba binti yoyote kwanza kwake hato kaa na huyo binti atamuoa na hata kama akishindwa mzee anaingia front mwenyewe anamtolea mahali na hela ya kuanzia maisha na mkewe. Ila siku hizi ni tofauti.
 
Sometimes hata wazazi wa siku hizi wanachangia mabinti zao wao Masingle Mother. Unakuta binti hana shughuli yoyote ya kumwingizia kipato au anayo ila kipato anacho ingiza ni cha kawaida sana.Ila vitu anavyo miliki yule binti ni vya gharama na unakuta anampa mzazi wake hela nyingi au vitu vingi vya gharama, mzazi hajiulizi binti yake hela kaitolewa wapi,je zawadi inaendana na kipato cha shughuli yake.

Wazazi wanazipokea na wanaona binti yao kayapatia maisha, wanaopenda kupokea zawadi/fedha ni wakina mama ila siku hizi mpaka madingi nao wapo kwenye mkumbo huo. Ndio maana mabinti zao wanapopata mimba inabidi wawe wapole na kukaa nao nyumbani.

Ila wazee wazamani binti yake akimpatia zawadi hata ile ndogo au hata fedha atataka kujua ameitoa wapi na hato ishia hapo atachunguza kujua source ya mapato yake na akishaijua kwamba ni mwanaume, hiyo zawadi hatoichukua na atamripoti kwa Baba yake. Wazazi wa zamani walikuwa wanapokea zawadi kutoka kwa wakwe zao waliokwisha kutoa mahali.

Siku hizi tunaishiishi hatuna miiko na sheria kwenye familia zetu yaani hovyo hovyo. Ila wazee wazamani hata kijana wake wakiume akimuona kishaanza kudate na wanawake. Anamwita na kumpa ukweli kwamba,hao wanawake anao wagonga kila siku, siku akimpa mimba binti yoyote kwanza kwake hato kaa na huyo binti atamuoa na hata kama akishindwa mzee anaingia front mwenyewe anamtolea mahali na hela ya kuanzia maisha na mkewe. Ila siku hizi ni tofauti.
Mim nilishuhudia laivu mtaani kwetu kuna binti X mwanzoni mwa ajila yake alianza kutembea na mume wa mtu ofcoz mume wa mtu alikua na kipato, alimpangia nyumba huyo binti X huko mbezi beach. Alimpa gari na akamfungulia duka mwenge (jamaa akichukua mzigo anamuekea na binti kwenye duka lake,)

Mbaya zaidi kilichonishangaza alituma hela ili nyumba ya mzaz wa binti ifanyiwe marekebisho, kaka wa binti akapewa gari la kutembelea. Yaani wote wakasahau binti anatembea na Mume wa mtu.

Binti baada ya muda akapata mtoto na huyo mume wa mtu, mimi niliondoka maeneo hayo, majuzi nimekuja kusikia kumbe Mke wa jamaa alikuja kupata stori, binti akanyang'anywa nyumba gari na duka, sasa hivi amepanga tabata huko na mtoto juu. Na mama yake hana say yoyote.
 
Naomba niende kwenye point kabisa. Hii ni kwa wanaume/kaka/vijana kama mimi. Najua life ni ngumu na kwa kipindi hiki mwanaume kutafuta mpaka ukajipata sio kitu cha muda mfupi inachukua muda sana.

Basi hii isipelekee kuwatesa viumbe wa upande wa pili basi.

Utakuta mwanaume anasema ooh. Mimi kuoa mpaka nikijapata sasa kipato changu cha kulea familia hakijitoshelezi, ilo unalosema ni sawa SASA MBONA UNAENDELEA KUGAWA MIMBA KWA WADADA ZETU, ko hao watoto wanatakiwa kulelewa na nani aliejipata?

Wewe unasema ukijipata ndio utaoa ili uweze kulisha familia yako, wakati muda huo huo unaendelea kutengeneza familia nyingine (ili ilelewe na nani sasa)

Em kuweni WAUNGWANA BASI. Kama unataka Familia siku ukijipata basi subiri muda huo ndio utengeneze hizo familia, sio kutubuluzia wadada zetu tunaishia kuwa na SINGLE MOTHERS kibao.

Siku hizi kila ukitongoza Dem ana mtoto. Kuoa dem mwenye mtoto inaanza kuwa kawaida sasa hivi.
Dem kua na mtoto mmoja imeanza kuwa afadhali sasa hivi kuna madem wana watoto mpaka wa3 baba tofauti.

Hii inachosha jamani. kha.
asilimia 98 ya wanaume wanaodate huku wanajitafuta huwa hawatarajii mwanamke ashike mimba na wengi wao hutoa warning mapema shida ipo kwa hawa wenzetu wao mimba ndio ngao yao ya kututekaa na kuhisi tutaishi nao na kuwaoa.
 
Ila niwe mkweli, wanawake nlowah kuwa nao kwenye relationship hata zingine sio za kimapenz nimekuwa nikiwashauri sana ila hawashauriki, mfano kuna mmoja alikuwa anadate na jamaa alikuwa anampiga daily nikamwambia aangalie ustaarabu mwingine yakawa yanaingia sikio hili yanatokea lile akabwagana na jamaa akaanza kudade mume wa mtu nikamsihi pia hakusikia, akatandikwa mimba akazaa, juz juz ananletea stori eti ooh unajua mimi bado mzuri sasa ebu angalia namna tunaweza fanya nikaona huyu chizi nini nlimshauri mara kibao leo anataka me nianze moja bila mbona haiwezekani, kwa experience yangu wanawake wengi mpaka yawakute majanga ndio akili huwa zinawarudi kuwa kumbe fulan alichokuwa ananiambia ni ukweli, na kimsingi wanawake wenyewe wanatengeneza mazingira ya kuwa single mothers wako desperate sana na relationships na watoto sasa desperate measures matokeo yake tunayajua. Mambo ya kumuuliza mtu ulikuwa unaongea na nani ? Anajibu “Baba junior alikuwa anataka kumsalimia mwanae “ haya mambo me mnisamehe kwakweli wenzangu mtanisaidia 😂😂😂😂
 
Hatuongelei vijana wa kiume na single mothers tunaongelea vijana wa kiume wanaoleta hao single mothers.

And yes its true hawabakwi, (japo kuna wanaobakwa pia), ila baada ya binti kupata ujauzito eidha kwa kukubaliana au bahati mbaya kijana wa kiume ndiye wa kwanza kukimbia kukwepa majukum

Kweli si kweli?
Hoja yako mbona havieleweki, ni kukwepa majukumu au kutengeneza single mother, kwani akifanya majukumu huyo mwanamke anakuwa sio tena single mother.
 
Wasilimia ya 98 ya wanaume wanaodate huku wanajitafuta huwa hawatarajii mwanamke ashike mimba na wengi wao hutoa warning mapema shida ipo kwa hawa wenzetu wao mimba ndio ngao yao ya kututekaa na kuhisi tutaishi nao na kuwaoa.
Bro unapiga dem kam mkeo, na kumwagia ndani juu.

Halafu sasa hivi unasema hua hautarajii mwanamke ashike mimba na warning unatoa.

You can not be serious bana.
 
Makosa ni yetu pia wanaume maana mbegu si sisi ndo tunaamua pa kuzipeleka
Usiseme makosa yetu sisi usituingize humo, sema makosa yako maana labda mwanaume mwenzetu wewe unabeba mimba na kunyonyesha.....How come mimba suala linalomuhusu mwanamke then wewe uje kusema tatizo la mwanaume is that normal thinking.

Kwenye suala la mahusiano kuna mizigo ya mwanaume na mizigo ya mwanamke, kamwe hutakuja kuona mwanamke akijibe establish mizigo ya wanaume kama huna pesa watakwambia "Dume suluari" "utanipa nini" kama huna pesa hilo ni tatizo lako hakuna mwanamke atasema letu wote tusaidiane ABC na ndivyo hivyo pia unapaswa kujua kubeba mamba ni tatizo la mwanamke kwanini wewe ulibebe au wewe FEMINIST MEN.

YEYE mwanamke ndio inabidi awe makini na si wewe mbona wewe unavitu vingi vya kuwa makini navyo instead kuwa makini na hivyo vitu tena unajiongezea mzigo wa U single Mother INSANE BRAIN.
 
Back
Top Bottom