Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuju km huwa humpendi kiasi hicho...!Hapa hata mawe utarushiwa
Hapo sasa...Udumu milele. Nimekupenda bure walah. Mpira dakika 90 na ndoa ipo mda wote hadi kifo. Kuku wa kwako manati ya nn?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuuumbe![emoji1] [emoji1]Wengine wana nyumba ndogo hao, mpira wanausingizia tu.
[emoji15] [emoji15] [emoji134] [emoji134] thema kweli wee...!!Wee ongea kitu kingine Ila sio mpira, mpira ni mtamu zaidi ya papuchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee...Hapa hata mawe utarushiwa
Mmh!Mke anaweza kusubiri
Mpira unakuwaga live ule
Kiasi fulani hawako katika makosa so long as hawafanyi kinyume na makubaliano ya ndoa yao
Hv akikwambia chagua moja umuache yaani umpe talaka yakeKwa upande wangu mimi nilianza kuupenda mpira kabla hata mke wangu hanifahamu, so hana cha kunipangia kuhusu mpira
Slippy Gerald, you served football.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]uzuri wengine timu zetu zikifulia na mahaba ya mpira yanakata...
njia pekee ni kuomba Barca au simba (hapa mahaba sio sana) ziyumbe...
Sawa ila punguzeni kidogooSawa bibie ila inakuwa ni ngumu
Heheee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Endelea kuongea huujui utamu wa kushabikia manchester
Duuu huyo mzee ameshakuharibu daa yaani mpira pia ni km kilevi tuMkuu ungeongea kitu kingine lakini sio mpira aisee!!!
Nimeanza kufatilia mpira nikiwa darasa la 4 tena aliefanya nipende mpira ni mzee wangu yaani hata mpira uchezwe kuanzia saa 00:00 lazima atakuamsha tu muangalie wote.
Sasa hapo mkuu unategemea nini!!!!
Duu...!!Football acha kabisa, mtuvumilie kwa kweli
Duu..!! Kimeshakuwa kilevi chakoAisee acha kabisa kama mm napenda mpira mpaka basi wkend kama hamna premier league nakuwa bored sana
Mmmh
Mlevi wa Moira huyoo[emoji1]Acha kufananisha mpira na vitu vya kijinga..
Cc: hucna muba
Kusimamisha nn?!Kwa mpira huu naoujua mimi acha kabisa yaani Manchester United wanacheza unategemea nini hapo hata siwezi kusimamisha mpaka mpira uishe.