Wanaume mnaopenda Mpira

Wanaume mnaopenda Mpira

acha kufananisha mpira na mambo ya kupuuzi
 
Wee achana na mambo ya mpira bwana, ni habari ingine, na hivi wametuongezea na beting tena, ndio wamezidisha mzuka kabisaaa,
Mshabiki aliebet hata dushe halisimami eti... Nawaona sana wanavyoishi kwa presha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji4]
 
Nashangaa yaan wao wanadhan kugandana ndani kama siafu ndio mapenz wakat mimi akili yangu haiko hapo...hata anishike vipi dushe haliamki maana nawaza mpira..Ila nirudi saasa na tuwe tumeshida atafurahi.Nalala kidumu chote kiko tupu

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu nawauliza nyinyi wanaume hivi kuna nini kitamu kiasi cha kufikia hatua unamuacha mkeo ndani usiku peke yake kalala na ww unaenda mpirani!

Kuna ndoa moja hapa imefungwa kama mwezi mmoja uliopita hivi lakini bwana harusi tangu bado wako fungate anamuacha mkewe anaenda mpirani
Hivi mnataka kunambia mpira ni mtamu kuliko wake zenu?

BADILIKENI WAJAMENI
Kama ungekua Anna makinda upande wa pili ungesikia majibu yao,,,NDIYOOOOOO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu nawauliza nyinyi wanaume hivi kuna nini kitamu kiasi cha kufikia hatua unamuacha mkeo ndani usiku peke yake kalala na ww unaenda mpirani!

Kuna ndoa moja hapa imefungwa kama mwezi mmoja uliopita hivi lakini bwana harusi tangu bado wako fungate anamuacha mkewe anaenda mpirani
Hivi mnataka kunambia mpira ni mtamu kuliko wake zenu?

BADILIKENI WAJAMENI
Unamaanisha Mpira wa kiume au?
 
Back
Top Bottom