Wanaume mnaotongoza wanawake kwa kigezo cha avatar mnaenda kupigwa na kitu kizito kichwani

Hahahaa kweli kabisa mkuu,nilichatt na dume moja linajiita huduma za kinini sijui..lilivyoona nalibana maswali magumu magumu ya kulilainisha likakimbiaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kaa chonjo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hizo sifa tu we zipokee tu baba tamuu avumilie tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli mambo ni maresh maresh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…