Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Huyo wee muache akiingia hapa kutoka mpk wazazi wake wamkatie rufaa..!!Anataka kuogeshwa kwenye beseni sebuleni.
Apotee kama mboso.
Hatujui wakinga vizuri..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo wee muache akiingia hapa kutoka mpk wazazi wake wamkatie rufaa..!!Anataka kuogeshwa kwenye beseni sebuleni.
Apotee kama mboso.
ndipe kalubusu pa ntandi girl.Ilikwisa boy 😻
Ndipase indalama, nasenda i lipa namba fast fast😘
Wahenga walisema Jambo usilolijua ni kama usiku WA Giza ...Kuna kitu cha msingi wanakitunza ukipata mwingine muulize atakwambiaKaka zangu kujeni dada enu nawaita.
Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.
Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijani🙆🙆🙆.
Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.
Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?
Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
😊😊😊😊
Indalama yanshonza u mtima wange awwehndipe kalubusu pa ntandi girl.
Ww mchokozi 😃😃Naomba nijuze tafadhali.
Haya bana, nakuona tu 😅Pensi ya man u duh
Ww ni Mtu WA kanda ipi mkuu,Tuanzie hapaSina ubaya hata
We muache tyuu..!!Anatafutwa amepotea😁😁😁
lugha gani hii wewe mbona mjanja mjanja sana