Huyo wee muache akiingia hapa kutoka mpk wazazi wake wamkatie rufaa..!!Anataka kuogeshwa kwenye beseni sebuleni.
Apotee kama mboso.
ndipe kalubusu pa ntandi girl.Ilikwisa boy π»
Ndipase indalama, nasenda i lipa namba fast fastπ
Wahenga walisema Jambo usilolijua ni kama usiku WA Giza ...Kuna kitu cha msingi wanakitunza ukipata mwingine muulize atakwambiaKaka zangu kujeni dada enu nawaita.
Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.
Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijaniπππ.
Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.
Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?
Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
ππππ
Indalama yanshonza u mtima wange awwehndipe kalubusu pa ntandi girl.
Ww mchokozi ππNaomba nijuze tafadhali.
Haya bana, nakuona tu πPensi ya man u duh
Ww ni Mtu WA kanda ipi mkuu,Tuanzie hapaSina ubaya hata
We muache tyuu..!!Anatafutwa amepoteaπππ
lugha gani hii wewe mbona mjanja mjanja sana