Wanaume mnaovaa nguo za ndani nyingi huwa hamhisi fukuto?

Hahahaha
 
Maisha ya wanaume wa kweli ni mapambano daima!
Ktk mazingira flani tunavua suruali na kuendelea kupambana. Je nitavua suruali nibaki na hizo 'chupi' zilizoboreshwa?
Pia hizo bukta zinatusaidia kutunza silaha ndogondogo kama pisipisi, kusu, n.k. Wanaume duwanzi wa mijini wanaonewa na vidogo vyao vilivyokatisha tu kunyonya kwa kuwa hawatembei hata na wembe.
 
Una report kutoka wapi?
 
Duh
 
Comments za kwenye huu uzi huwa zinanichekeshaga sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Dah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…