Wanaume mnaowaingilia wanaume wenzenu, na wanawake kinyume cha maumbile arobaini yenu imefika!

Wanaume mnaowaingilia wanaume wenzenu, na wanawake kinyume cha maumbile arobaini yenu imefika!

Washapimwa tayari subiria mahakamani tarehe 27
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Unashadadia utasema kuna kitu wanakupunguziaaa, poleeeeeeeh
Subiri kufurahishwaaaa km sio kushangazwaa.
 
Hili janga mkitaka liishe watafutwe wanaowafanyia (wafiraji) mkiwamaliza hao hakutakuwa na mashoga vinginevyo ni kazi bure sababu wataanzisha mashoga wapya pindi mashoga wengine wakiwa jela
 
Back
Top Bottom