Matteo Vargas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2019
- 803
- 1,329
Kumekuwa na wimbi la video za tik tok ambazo asilimia kubwa wasimuliaji wake ni wanaume, video hizi ukizisikiliza muaudhui yake zimekuwa zikiwananga mno wanaume km watu ambao hawana huruma na kazi yao ni kucheza na hisia za wanawake na kuwaumiza.
Na wanaume wenzetu hawa wameenda mbali hadi kutulaani sisi wanaume (kana kwamba wao sio wanaume) kwa kuwatesa wanawake kihisia bila huruma (inaweza kuwa ni kweli lakini jaman sio wanaume wote). 😏
Lakini takwimu zinaonesha wanaume ndio wanaongoza kwa kuwa na msongo wa mawazo na hata kujiua/kuua linapokuja swala la mahusiano. Sasa sijui wanaume wenzetu hawa wanatumia vigezo gani kutupa hizo hukumu za kuwaumiza wanawake kihisia.
Umoja wa Mataifa, UN unasema, mauaji baina ya wapenzi yanaongezeka hasa kutokana na wivu wa kimapenzi. Takwimu za hivi karibuni zinaonyesha wanawake ndio waathirika zaidi wa mauaji hayo, ambapo 82% ya waliouawa mwaka 2017 walikuwa wanawake na 12% tu walikuwa wanaume (BBC).
'Swali kwanini wanaoumizwa kwenye mapenzi ndio hao hao wanauouawa zaidi kwa issue ya wivu wa mapenzi?'🤔
Nafikiri wanaume ndio waathirika wa hili ila shida ya wanaume ni watu ambao hawasemi na kampeni hii mnayoifanya inatengeneza picha mbaya kwenye kizazi hiki kinachokua kwamba wanaume ni viumbe hatari kwenye mahusiano.
Wakichepuka wanaume 20 msihukumu wanaume 200,000 kwani wanawake hawachepuki? au wao hawaonekani? mjaribu kubalance story tuliyonayo wanaume yanatutosha na tumechoka.😔😔
Na wanaume wenzetu hawa wameenda mbali hadi kutulaani sisi wanaume (kana kwamba wao sio wanaume) kwa kuwatesa wanawake kihisia bila huruma (inaweza kuwa ni kweli lakini jaman sio wanaume wote). 😏
Lakini takwimu zinaonesha wanaume ndio wanaongoza kwa kuwa na msongo wa mawazo na hata kujiua/kuua linapokuja swala la mahusiano. Sasa sijui wanaume wenzetu hawa wanatumia vigezo gani kutupa hizo hukumu za kuwaumiza wanawake kihisia.
Umoja wa Mataifa, UN unasema, mauaji baina ya wapenzi yanaongezeka hasa kutokana na wivu wa kimapenzi. Takwimu za hivi karibuni zinaonyesha wanawake ndio waathirika zaidi wa mauaji hayo, ambapo 82% ya waliouawa mwaka 2017 walikuwa wanawake na 12% tu walikuwa wanaume (BBC).
'Swali kwanini wanaoumizwa kwenye mapenzi ndio hao hao wanauouawa zaidi kwa issue ya wivu wa mapenzi?'🤔
Nafikiri wanaume ndio waathirika wa hili ila shida ya wanaume ni watu ambao hawasemi na kampeni hii mnayoifanya inatengeneza picha mbaya kwenye kizazi hiki kinachokua kwamba wanaume ni viumbe hatari kwenye mahusiano.
Wakichepuka wanaume 20 msihukumu wanaume 200,000 kwani wanawake hawachepuki? au wao hawaonekani? mjaribu kubalance story tuliyonayo wanaume yanatutosha na tumechoka.😔😔