Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Kawaida ya wanaume huwa hatuongei popote, ukiona hayo majitu yanayotetea wanawake ndo hayohayo yatakuja kutetea na mashoga.
Kwanza mwanamke hahitaji kutetewa coz jamii inamuamini zaidi mwanamke kuliko mwanaume, yeye tu kua mwanamke ni utetezi tosha kabisa.
Sasa hao wanaume wanaojitia kimbelembele siku yakiwakuta, watalia na kusaga meno.
Kwanza mwanamke hahitaji kutetewa coz jamii inamuamini zaidi mwanamke kuliko mwanaume, yeye tu kua mwanamke ni utetezi tosha kabisa.
Sasa hao wanaume wanaojitia kimbelembele siku yakiwakuta, watalia na kusaga meno.