Wanaume mnaowasemea wanawake huko tik-tok muwe mna-balance story

Kawaida ya wanaume huwa hatuongei popote, ukiona hayo majitu yanayotetea wanawake ndo hayohayo yatakuja kutetea na mashoga.

Kwanza mwanamke hahitaji kutetewa coz jamii inamuamini zaidi mwanamke kuliko mwanaume, yeye tu kua mwanamke ni utetezi tosha kabisa.
Sasa hao wanaume wanaojitia kimbelembele siku yakiwakuta, watalia na kusaga meno.
 
Huko tiktok hakuna wanaume, kuna mashoger.
 
Wanawake wanatetewa kila kona. Ila wanaomia zaid ndio hawatetewi
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Wa kahama yeye kaua halafu katawanya viungo vyote then kila kiungo kakizika separate huko majarubani....mbususu tu ndio imepata bahati ya kuzikwa nyumbani
Kanda ya ziwa wanawake watakimbia wote kwa hali hii
 
πŸ˜ͺπŸ˜ͺπŸ˜ͺ hii ni hatari kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…