Wanaume mnashauriwa kufanya usafi sana wa maeneo haya ya mwili...

Wanaume mnashauriwa kufanya usafi sana wa maeneo haya ya mwili...

Ila wanawake wengine ukweli hamjitambui na ndio maana ndoa mtaziona kwa jirani tu.
Wewe umenipenda mimi kabla ya kunifaham kiundani zaidi.. baada ya kunikubali unagundua kuwa nina udhaifu mdogo wa kurekebisha na kuelekeza. Kwa nini usimuelekeze huyo mtu akawa kama unavyotaka wewe kuliko kuja hapa kupikicha povu kama lote.
Thamani ya mwanamke kwa mwanaume inakuja pale wewe mwanamke ukamkubali mwanaume na ukamuonesha udhaifu wake lakini ukachukua jukumu la kum-badilisha. Akibadilika na watu wa karibu watamwambia, kwa hakika thamani yako itapanda mara dufu na utakuwa wa muhimu kwake sana.
 
Nipende tu kuwaambia wanaume wenzangu sometimes kufanya usafi uliopitiliza eti kuoga mara tatu kwa siku huo ni umama eti utalikuta libaba lizima na ndevu zake linafua soksi .soksi ya mwanaume inavaliwa wiki mwanaume gan huniki miguu utakuwa una matatizo
 
Hivi kumbe unaongelea kujinyoa?

Sikumbuki mara ya mwisho kujifanyia hizo huduma ni lini, ukiondoa kuswaki.

Na hizo Habari za kunyoa nywele za makalio siku nikikutana na mtu ana hizo habar anapata SUMMARY DISMISSAL
 
hahah COCO, MIGUEL....nipe Animation nyingine nzuri maana nimeona avatar yako nikaikumbuka Coco
Na sinyoi, misitu ndio inayoleta mvua..

Halafu dume zima utaanzaje kujinyoa nywele za tako!? Unajikunja kabisa unapititsha shaver rwaah rwaah.. Pumbavu kabisa..
 
Ww una nuksi vidume vyote ulivyowahi kuwa navyo ndo viko hivo halafu unakuja et "wanawake kama 10 hv wananilalamikia kwa vitabia venu vya ajabu hasa vya usafi"
 
Back
Top Bottom