Wanaume mnataka nini hasa kwenye mahusiano?

Wanaume mnataka nini hasa kwenye mahusiano?

Afu na huyu keshokutwa eti ameolewa, M. A. E nimebadili msimamo nisipokuta bikra sioi, kama wanawake wenyewe ndo hawa bora tuendelee kulana kimaskhara.

Kuna demu juzi kati kaolewa afu aliyekuwa anamtafuna before namjua, na alikuwa ana mtafuna hata baada ya ndoa kutangazwa na michango inachangishwa, nikasema sichangii huu unafiki ng'oo na kwenye harusi siendi hata nipewe kadi ya bure.

Dunia imejaa unafiki

KATAA NDOA nimeanza kuwaelewa kwa kiwango cha lami
 
Kama ulitoa papuch kwa kuogopa sap, inamaana hiyo degree yako ni Batili, Sasa huko makizini nyinyi ndiyo mnaharibu kazi za Watu!!
Ushapitia chuo? Ukimkataa mwl inakuaj kama sio kusapishwa? Watu tunakubali mambo yanyook umalize usepe sio kama usomi unasoma lakini ukishamkataa recture anaekufundisha usitegemee kufauru sisi tulopitia ayo mambo ya chuo tunaelewa mazingira aya
 
Ushapitia chuo? Ukimkataa mwl inakuaj kama sio kusapishwa? Watu tunakubali mambo yanyook umalize usepe sio kama usomi unasoma lakini ukishamkataa recture anaekufundisha usitegemee kufauru sisi tulopitia ayo mambo ya chuo tunaelewa mazingira aya
Wewe huja soma, hata neno lecturer hulijui
 
Una roho ya kuliwa na wanaume za watu. Kwakua ulishaianza, sasa cha kufanya unatakiwa ufunguliwe hiyo roho iondoke kwanza ndipo utakuwa salama.
 
Ha ha ha nipime mar ngapi mi Niko safe ndo man najitunza sitaki mwanaum wa mtu saiz

Endelea kujitunza ,ukishaona mtu ana mke anaenda nje kwako means anaenda pia kwa wanawake wengine tofauti na mke ,sasa katika hiyo chain kuna possibility kubwa sana ya "Kuyakanyaga".
 
Ulishafungua mwenyewe mlango wa kuliwa na waume za watu utafatwa nao sana hadi uufunge mlango
 
Ukishatembea na mme wa mtu ni kama umefungua milango ya kufuatwa na waume za watu.

Unauliza waume za watu wanataka nini? Wewe si unaogopa supp, ukaamua kutoka na mme wa mwanamke mwenzako, basi wanataka wakusaidie usiendelee kupata supp hata kwenye maisha ya mtaani.
Na yuko very proud kuliwa na lekchara mume wa mtu!

Hatakaa awe na amani hata ikija kutokea akaolewa. Mumewe naye ataendeleza libeneke huko nje kama kawa mpaka mnyororo huu utakapovunjwa. Hajitambui na hopefully atajitambua kabla haijawa too late!
 
Kwa kweli uliwe tu na hufai kuwa mke wa mtu roho ya waume za watu ikuandame tu 😂😂 yaan changamoto kidogo ya Sup suluhisho unalitafuta kwa kuliwa tena na Mume unajirisk kupata magonjwa na mimba zisizotarajiwa na unyanyasaji wa kingono kisa mtihani tu , pepa tu lile karatasi 😂 Haya ukifika mchakato wa kupata kazi , Ma HR wangapi watakufanya Punching Bag , haya kupanda cheo, haya offer za nani aende semina !

Kuogopa changamoto za maisha hakutatuliwi kwa kujivua utu ni kupambana hivyo otherwise tukujue kabisa kwamba hapo chini ndo mtaji !! Ila kujisemesha wanaume wanataka nini sisi tunamwingia mtu kulingana na mazingira unayojiweka weka !! Ukiwa na akili na msimamo wanakuingia wachache , ukiwa zwamwamwa kama mleta mada ndo matokeo.
 
Watu tunakubali mambo yanyook umalize usepe sio kama usomi unasoma lakini ukishamkataa recture anaekufundisha usitegemee kufauru sisi tulopitia ayo mambo ya chuo tunaelewa mazingira aya
yanyook ❌️ yanyooke ✅️
recture ❌️ lecturer✅️
kufauru ❌️ kufaulu✅️
tulopitia❌️ tuliopitia✅️
ayo ❌️ hayo✅️
aya ❌️ haya✅️

Kweli bila kuvua chupi sup ingekuhusu
 
Back
Top Bottom