Wanaume msiokunywa pombe acheni majungu. Tunaokunywa tunawazidi kila kitu kuanzia pesa hadi maisha; njaa zenu zisiwape viburi, hamna chochote

kinachofanya mnakuwa mada sio utajiri au umasikini wenu,ni matendo yenu baada ya kulewa.

yaani pombe huwa haibaki kuwa starehe yenu peke yenu,bali kero kwa wasiokunywa.
hapa unazungumzia wehu ila sio mnavyodhani kila anaekunywa ni kero, nani kawadanganya hayo na ndio mnapokoseaga hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo moja pesa zikiisha mna kunywa gongo na minazi amna lolote, mnaibia wake zenu vichechi.
ndio mawazo yen wote ndio maana sitaki kujibizana na nyie, chenchi za mwanamke oohshit men, yaani pesa ya matumizi au? ndio maana siwalaumu maana najua mkipata pesa mtajua namna ya kuishi unaibaje pesa kwa mwanamke na unaiba bank au mezan shit

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapa unazungumzia wehu ila sio mnavyodhani kila anaekunywa ni kero, nani kawadanganya hayo na ndio mnapokoseaga hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
hata sisi huwa hatusemi watumiaji wote,kumbuka kuna walevi na wanywaji.

mlevi hawezi kuwa na maendeleo hata siku moja,maana hunywa mpaka kulala barabarani na kutukana watu,kisha huitwa mlevi.
 
Maini tu ndo mnazidiwa walevi , mana walevi maini yameharibika kama nyama kuchoma na corona hii, tunahatari ya kupoteza walevi!! Mwahi chanjo mapema
 
hata sisi huwa hatusemi watumiaji wote,kumbuka kuna walevi na wanywaji.

mlevi hawezi kuwa na maendeleo hata siku moja,maana hunywa mpaka kulala barabarani na kutukana watu,kisha huitwa mlevi.
hili unalijua wewe ila kuna viwanaume kikikuona no matter umekisemesha or not bado kinakudharau asee unamdharauje mtu anaekuzid elimu, pesa na kila kitu hadhi dhambi kakuzid hebu chill men

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna clip moja binti alisukumiziwa mzinga mzima nafikiri K-VANT kaachia kinyesi na kuna shuhuda alisema alikata moto palepale, mimi binafsi ni mhanga dogo alikata moto kwenye ulevi......kwa hiyo unapokuja na tambo kama hizi kuhusu gambe uwe unaweka na akiba ya maneno maana tumeshuhudia watu kibao wakiharibikiwa na wengine kupoteza maisha kabisa, ndo maana sidhani kama nitakuja kugusa tena pombe baada ya dogo kukata moto kwenye ulevi.....
 
mkuu nikinywa control inakuwa mara 100 zaidi ya awali asikwambie mtu labda mwehu au kuna mkono wa mtu ila hivhivi drunken driving is soo nice

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu you are right kabisa, ukinywa kiasi sio sana umakini huwa unaongezeka sana kibaya ukizidisha unaweza chomolewa wallet usijue...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…