Wanaume mtaendelea kulogwa msipoacha haya ....

Wengine wanajishikisha hadi mimba ili kumtega mwanaume amuoe Kwa lazima [emoji87][emoji87][emoji87] Raha ya ndoa ni zaidi ya kuwa na watoto! Utamzalia watoto mwisho wa Siku maneno na vituko atakavyokufanyia utasema Ni kitu gani! However kuwa watoto ni vizuri sana lakini siyo Kwa kumtega Mtu wakati hakuwa amepanga kukuoa! " imeandikwa " enyi binti Sayuni msiyachochee mapenzi mpaka yatakapoona yenyewe kuwa ni vema" lakini mtaani Ofisini watoto wa field macho Juu Juu na Nguo za uchi za mitego huku wakiwa wamejipodoa over ! Kumbe wangejua wanaume wengi hupenda mabinti ambao they are most simplest and respectful , sorry nimetoa Siri [emoji85] wasije waka pretend!
 
Bahati nzuri mi kabla sijazama deep kwenye mahusiano huwa tunaapiana hatutofanyiana mambo za kugeuzana mazezeta wala machizi pale itakapotokea shetani kapita katikati yyetu....hivyo nna aman taslim kuwa SITOROGWA na Mwanamke labda tu kama nitakutana na Xambaye atakuwa mtoto wa mganga.
Kwa uhakika zaidi ma X wangu naongea nao vizuri tuJana Leo kesho na hata milele tena Kiroho swaaafi!
 
Wanawake ndio mliologwa.... Ujinga mnaoufanya ni ishara kuwa mmelogwa.

#1. Unatembea uchi kama mnyama ... Hii ni ishara kuwa umelogwa. Mtu mwenye akili hawezi kufanya huo Ujinga.


#2. Mnadanganywa kwa Chips na Kuku mnagongwa.. Hii ni ishara kuwa mmelogwa...


Wanawake mmelogwa na mtoto mdogo . Itabidi msubiri hadi akue ili awatibu
 
mbona kwenye maandiko ya kiimani tunaaminshwa ya kwamba huko mwanzo mwanamke ndio aliyekinukisha kule bustanini aden..??.. na ndio dunia ya mapenzi leo hii KE ndio wameibidua upside down..??.. watu hawapoi kwa ajiri ya KE....
na nyie mjitathmini bhana..
 
Hahaha siku nikigundua unanililoga sijui ntakufanyaje kwakweli,hivi kweli siku nigundue unanitengeza kwa waganga bado niendelee kulala na ww kitanda kimoja ni ujinga kiwango cha lami
 
Naomba uandike usia kwenu wakianza kuku ona unacheka cheka wajue tayar

Au haujaskiliza video vzuri

Penny kucheka kupo kwa aina nyingi, na kunatofaut kati ya kucheka na kufurah hao waliorogwa wanachek ila cc wengine tunafurah
 
sawaaa
 
Ahahaha ha
Bro mbona unaongea sana au ndio tayar
Nikuulize upo kwenye rlshp na mtu sasa mwaka au miezi mingap?!
Kitu gan ambacho unamfanyia yeye tu wengine huwafanyii
Kama yapo ujue mzee ushalishwaaa
Hahahaaaaa mi namwambiaga LIMBWATA kwetu ni mwiko na zinapunguzaga nguvu za kiume basi anaogopaaaaa!! bahati nzuri Huyu MTU alikuwa rafiki tu tena nilie kuwa napokea ushauri mbalimbali kutoka kwake hasa mahusiano,tena ananijua A to Z na ndo mama angalau tumeiva 4
 
hamuwezi shindana na sisi tutakula tutasepa, tutawapotezea muda,tutawaumiza tutawapenda tutawaoa yote hayo tunaweza yafanya ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…