Wanaume mtaendelea kulogwa msipoacha haya ....

We nawe huelewek unataka nn sasa
 
Mbn maelezo yako n clip haviba uhusiano maan wanaliga kwasababu ya tamaa sio kwamba wamevurugwa
 
Nilikumiss kweliii. Hujambo mtegemewa
 
Haya wee ndio maana mnaangukia midolini kama hivi


Wanaoumizana... Wanajitakia wenyewe...


Cc: mahondaw


[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Hiii audio imerkodiwa wapi? Mana ni hatari kwa kweli ila .....huyu kiumbe anayeitwa mwanamke ni hatari sana....
 
Hivi kwani kuna mwanaume aliyekoswa mwanamke wa kuoa jamani???!!!

Wanaume hatujawahi kukoswa wanawake wa kuoa sema bado tupotupo kwanza.
 
Ila marekani washaonyesha mgogo papuchi ndo maana wanaume wanazo

Haya Ukitaka huko uje kwangu

DADA WA MAPENZI NOMA SANA, MWANDISHI
MKALI, WA UKWELI
AMEKUJA SASA LIVE KWA YOU TUBE

BONYEZA HAPA UMWONE

USISAHAU KU SUBSCRIBE
Hahahahahaaaaahhaaaa.....duuuuh!!!
Hatariiiii!!!!!
 
huwa nachukia sana mtu unapomtupia lawama mwingine for your falls...ni ujinga wenu ndio maana men are using you in a wrong way...!!!ule msemo Wa mwalimu wake mwanamke akishakufa unaaplly sana tu...!!a man will treat you the way you want!!!km anakutreat bad..it because you want it!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…