Wanaume mtaendelea kulogwa msipoacha haya ....

Wanaume mtaendelea kulogwa msipoacha haya ....

Wanaume mnalipia vbaya kuweni macho jamani

Kama kuna mwanaume aliemwumiza vbaya mwanamke huku duniani na mwanamke akaamua kuambia jamii nzima jinsi alivyoumizwa, huyo mwanamke Mungu ambariki lakini sio asee mpaka naona huruma

Ndio wanaume walivuruga sana mama zetu, dada zetu huko nyuma, lakini Dhambi ya kumvuruga mwanamke ni mbayaaa, bora umvuruge mnyama kuliko mwanamke

Wazungu wanasema one woman's trash is another woman's tressure! Lakini trash haijawahi kuwa cleaned ndio hio inayoleta matatizo kwa wanaume hivi leo wanakuja na vilio wanawake wa kuoa amnaaa, wanawake wanapenda helaaaa, wanawake hawafugiki wanapenda mteremkoo. wanawake hawajatuliaaa hii yote ni kwasababu mjinga mmoja wa kiume alimwumiza mwanamke m1 tu sumu ikasambaa mpaka kwa vizazi vya 5 ndio akina mimi na wewe

Nchi za ulaya ya Europe akina Norway, Finland, wanaume walianzaga michezo ya kuwaumiza wanawake wanawake wakaambiana buana, ikafika mahali wanawake wakagoma kuzaa, miaka ikasogea serikali ikaona nchi yao haina wazawa, wakafanya Urafiki wakaambiwa wanawake wamegoma kwasababu hii na hii na wanaume ndio chanzo kama hawatabadilika hatutazaa

Serikali ikaweka Beijing pale ikawasikiliza, sasa hivi huwezi cheza na mwanamke wa kizungu, hiyo punishment yake utajutaa kuzaliwa mwanaumee

Me nawaombeni wanaume wa kiTanzania mliobaki mtubu Dhambi za baba zenu kwa Mungu wa Mbinguni na mbadilike otherwise mtakuwa mnalia tuuu hamna wa kuoa hamna wa kuoa mpaka Yesu anarudi nyie kazi zenu ni kujipiga bao tu mwisho wa siku unakuwa mngese kwisha habari yako

No man is an island unafikia tu point unataka kuoa lakini kwasababu ulivuruga unakosa kuoa mke mzuri unaishia kupata design ya uliowavuruga mwanzo afu unalalamika, Jeesooos!

Sasa wanawake skuhizi wamekuja na itikadi mpyaaa, baada ya kuona wanaume wanaendekeza michepukooo (side chic, side piece), ndani ya ndoa kunanuna nje ya ndoa kunacheka

Ni vile tu wanaume hawajui wanawake wakishaambizana vitu vya hushikilia milele

Isikilize hii video ujionee muujiza wa itikadi mpya wa wanawake juu ya wanaume yeleuuuwi



Msicheze na wanawake, ni maji ya moto hao ohooo

We nawe huelewek unataka nn sasa
 
Mbn maelezo yako n clip haviba uhusiano maan wanaliga kwasababu ya tamaa sio kwamba wamevurugwa
 
Wanaume mnalipia vbaya kuweni macho jamani

Kama kuna mwanaume aliemwumiza vbaya mwanamke huku duniani na mwanamke akaamua kuambia jamii nzima jinsi alivyoumizwa, huyo mwanamke Mungu ambariki lakini sio asee mpaka naona huruma

Ndio wanaume walivuruga sana mama zetu, dada zetu huko nyuma, lakini Dhambi ya kumvuruga mwanamke ni mbayaaa, bora umvuruge mnyama kuliko mwanamke

Wazungu wanasema one woman's trash is another woman's tressure! Lakini trash haijawahi kuwa cleaned ndio hio inayoleta matatizo kwa wanaume hivi leo wanakuja na vilio wanawake wa kuoa amnaaa, wanawake wanapenda helaaaa, wanawake hawafugiki wanapenda mteremkoo. wanawake hawajatuliaaa hii yote ni kwasababu mjinga mmoja wa kiume alimwumiza mwanamke m1 tu sumu ikasambaa mpaka kwa vizazi vya 5 ndio akina mimi na wewe

Nchi za ulaya ya Europe akina Norway, Finland, wanaume walianzaga michezo ya kuwaumiza wanawake wanawake wakaambiana buana, ikafika mahali wanawake wakagoma kuzaa, miaka ikasogea serikali ikaona nchi yao haina wazawa, wakafanya Urafiki wakaambiwa wanawake wamegoma kwasababu hii na hii na wanaume ndio chanzo kama hawatabadilika hatutazaa

Serikali ikaweka Beijing pale ikawasikiliza, sasa hivi huwezi cheza na mwanamke wa kizungu, hiyo punishment yake utajutaa kuzaliwa mwanaumee

Me nawaombeni wanaume wa kiTanzania mliobaki mtubu Dhambi za baba zenu kwa Mungu wa Mbinguni na mbadilike otherwise mtakuwa mnalia tuuu hamna wa kuoa hamna wa kuoa mpaka Yesu anarudi nyie kazi zenu ni kujipiga bao tu mwisho wa siku unakuwa mngese kwisha habari yako

No man is an island unafikia tu point unataka kuoa lakini kwasababu ulivuruga unakosa kuoa mke mzuri unaishia kupata design ya uliowavuruga mwanzo afu unalalamika, Jeesooos!

Sasa wanawake skuhizi wamekuja na itikadi mpyaaa, baada ya kuona wanaume wanaendekeza michepukooo (side chic, side piece), ndani ya ndoa kunanuna nje ya ndoa kunacheka

Ni vile tu wanaume hawajui wanawake wakishaambizana vitu vya hushikilia milele

Isikilize hii video ujionee muujiza wa itikadi mpya wa wanawake juu ya wanaume yeleuuuwi



Msicheze na wanawake, ni maji ya moto hao ohooo

Nilikumiss kweliii. Hujambo mtegemewa
 
Haya wee ndio maana mnaangukia midolini kama hivi



Wanaoumizana... Wanajitakia wenyewe...


Cc: mahondaw


[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Wanaume mnalipia vbaya kuweni macho jamani

Kama kuna mwanaume aliemwumiza vbaya mwanamke huku duniani na mwanamke akaamua kuambia jamii nzima jinsi alivyoumizwa, huyo mwanamke Mungu ambariki lakini sio asee mpaka naona huruma

Ndio wanaume walivuruga sana mama zetu, dada zetu huko nyuma, lakini Dhambi ya kumvuruga mwanamke ni mbayaaa, bora umvuruge mnyama kuliko mwanamke

Wazungu wanasema one woman's trash is another woman's tressure! Lakini trash haijawahi kuwa cleaned ndio hio inayoleta matatizo kwa wanaume hivi leo wanakuja na vilio wanawake wa kuoa amnaaa, wanawake wanapenda helaaaa, wanawake hawafugiki wanapenda mteremkoo. wanawake hawajatuliaaa hii yote ni kwasababu mjinga mmoja wa kiume alimwumiza mwanamke m1 tu sumu ikasambaa mpaka kwa vizazi vya 5 ndio akina mimi na wewe

Nchi za ulaya ya Europe akina Norway, Finland, wanaume walianzaga michezo ya kuwaumiza wanawake wanawake wakaambiana buana, ikafika mahali wanawake wakagoma kuzaa, miaka ikasogea serikali ikaona nchi yao haina wazawa, wakafanya Urafiki wakaambiwa wanawake wamegoma kwasababu hii na hii na wanaume ndio chanzo kama hawatabadilika hatutazaa

Serikali ikaweka Beijing pale ikawasikiliza, sasa hivi huwezi cheza na mwanamke wa kizungu, hiyo punishment yake utajutaa kuzaliwa mwanaumee

Me nawaombeni wanaume wa kiTanzania mliobaki mtubu Dhambi za baba zenu kwa Mungu wa Mbinguni na mbadilike otherwise mtakuwa mnalia tuuu hamna wa kuoa hamna wa kuoa mpaka Yesu anarudi nyie kazi zenu ni kujipiga bao tu mwisho wa siku unakuwa mngese kwisha habari yako

No man is an island unafikia tu point unataka kuoa lakini kwasababu ulivuruga unakosa kuoa mke mzuri unaishia kupata design ya uliowavuruga mwanzo afu unalalamika, Jeesooos!

Sasa wanawake skuhizi wamekuja na itikadi mpyaaa, baada ya kuona wanaume wanaendekeza michepukooo (side chic, side piece), ndani ya ndoa kunanuna nje ya ndoa kunacheka

Ni vile tu wanaume hawajui wanawake wakishaambizana vitu vya hushikilia milele

Isikilize hii video ujionee muujiza wa itikadi mpya wa wanawake juu ya wanaume yeleuuuwi



Msicheze na wanawake, ni maji ya moto hao ohooo

Hiii audio imerkodiwa wapi? Mana ni hatari kwa kweli ila .....huyu kiumbe anayeitwa mwanamke ni hatari sana....
 
Hivi kwani kuna mwanaume aliyekoswa mwanamke wa kuoa jamani???!!!

Wanaume hatujawahi kukoswa wanawake wa kuoa sema bado tupotupo kwanza.
 
Ila marekani washaonyesha mgogo papuchi ndo maana wanaume wanazo

Haya Ukitaka huko uje kwangu

DADA WA MAPENZI NOMA SANA, MWANDISHI
MKALI, WA UKWELI
AMEKUJA SASA LIVE KWA YOU TUBE

BONYEZA HAPA UMWONE


USISAHAU KU SUBSCRIBE

Hahahahahaaaaahhaaaa.....duuuuh!!!
Hatariiiii!!!!!
 
huwa nachukia sana mtu unapomtupia lawama mwingine for your falls...ni ujinga wenu ndio maana men are using you in a wrong way...!!!ule msemo Wa mwalimu wake mwanamke akishakufa unaaplly sana tu...!!a man will treat you the way you want!!!km anakutreat bad..it because you want it!!
 
Back
Top Bottom