Wanaume mtaendelea kulogwa msipoacha haya ....

Wanaume mtaendelea kulogwa msipoacha haya ....

Nimesikiliza hii crip cha zaidi ni ujinga na kutojitambua we utamlogaje mwanaume asiye na kazi maalumu awe kama ndondocha wa kukaa tu nyumbani then unaingia gharama nyingine za kumlisha na kumvisha, mswahili ni mswahili tu yeye kinachomsumbua ni mapenzi tu especially ngono wenzao wa bara wanalogwa watafute Mali kwa ajili ya wake/wapenzi wao, huku pwani wao wanaloga mwanaume asitoke ndani! Kwa mpango huu sahau kitu ķinachoitwa maendeleo HII video ni aibu wala si ya kuendelea kuionyesha itaweka taswira mbaya kwa wanawake,dada na mama zetu wa kitanzania! Na wala haiwakilishi hasira za kina dada baada ya kutendwa.
 
Falsafa yangu ni uchawi tosha!
Huwezi ibadilisha hata upige madogoli usiku kucha haha love bewitched!!!
 
f1641b8e6540fa701b45142e0d2c6be9.jpg
[/IMG]
 
Wanaume mnalipia vbaya kuweni macho jamani

Kama kuna mwanaume aliemwumiza vbaya mwanamke huku duniani na mwanamke akaamua kuambia jamii nzima jinsi alivyoumizwa, huyo mwanamke Mungu ambariki lakini sio asee mpaka naona huruma

Ndio wanaume walivuruga sana mama zetu, dada zetu huko nyuma, lakini Dhambi ya kumvuruga mwanamke ni mbayaaa, bora umvuruge mnyama kuliko mwanamke

Wazungu wanasema one woman's trash is another woman's tressure! Lakini trash haijawahi kuwa cleaned ndio hio inayoleta matatizo kwa wanaume hivi leo wanakuja na vilio wanawake wa kuoa amnaaa, wanawake wanapenda helaaaa, wanawake hawafugiki wanapenda mteremkoo. wanawake hawajatuliaaa hii yote ni kwasababu mjinga mmoja wa kiume alimwumiza mwanamke m1 tu sumu ikasambaa mpaka kwa vizazi vya 5 ndio akina mimi na wewe

Nchi za ulaya ya Europe akina Norway, Finland, wanaume walianzaga michezo ya kuwaumiza wanawake wanawake wakaambiana buana, ikafika mahali wanawake wakagoma kuzaa, miaka ikasogea serikali ikaona nchi yao haina wazawa, wakafanya Urafiki wakaambiwa wanawake wamegoma kwasababu hii na hii na wanaume ndio chanzo kama hawatabadilika hatutazaa

Serikali ikaweka Beijing pale ikawasikiliza, sasa hivi huwezi cheza na mwanamke wa kizungu, hiyo punishment yake utajutaa kuzaliwa mwanaumee

Me nawaombeni wanaume wa kiTanzania mliobaki mtubu Dhambi za baba zenu kwa Mungu wa Mbinguni na mbadilike otherwise mtakuwa mnalia tuuu hamna wa kuoa hamna wa kuoa mpaka Yesu anarudi nyie kazi zenu ni kujipiga bao tu mwisho wa siku unakuwa mngese kwisha habari yako

No man is an island unafikia tu point unataka kuoa lakini kwasababu ulivuruga unakosa kuoa mke mzuri unaishia kupata design ya uliowavuruga mwanzo afu unalalamika, Jeesooos!

Sasa wanawake skuhizi wamekuja na itikadi mpyaaa, baada ya kuona wanaume wanaendekeza michepukooo (side chic, side piece), ndani ya ndoa kunanuna nje ya ndoa kunacheka

Ni vile tu wanaume hawajui wanawake wakishaambizana vitu vya hushikilia milele

Isikilize hii video ujionee muujiza wa itikadi mpya wa wanawake juu ya wanaume yeleuuuwi



Msicheze na wanawake, ni maji ya moto hao ohooo

Nawachukia wanaume washenz wa hakir kama hao
 
Back
Top Bottom