Akija jf lazima akuandikie uzi akupondeee mashetaniii tu nyie wanaume mxeeeeew
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama kaza hivyo hivyo. Tena mwambie safari njema huna K ya mchezo.
Tena kama ni wa huku bora umebana K yako. Hawana wema utu wala adabu. Ukimfunulia nguo jiandae kuja kusemwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana ,you are such a Good girl.Mmefahamiana na mwanaume kwenye mitandao ya kijamii,mnaanza kuchati mnazoeana
Siku anakuomba aje kukusalimia unakokaa,unamwambia hamna shida njoo
Anapanga siku anakuja,unampokea,unamkaribisha nyumbani kwako
Unampikia,anakula anashiba mnapiga stories
Inafika usiku unaenda guest kumchukulia chumba cha kulala ili apumzike ili kesho mzidi kupiga stori na kufahamiana zaidi anakataa
Anakulazimisha mlale naye chumbani kwako,unakataa unampa sababu ,kwa kuwa ni mara ya kwanza kukutana uso kwa uso nakuomba ukalale guest kesho tutaongea zaidi ,bado anakataa anakulazimisha mlale chumbani kwako
Basi unaona isiwe shida halafu ni mgeni unamuachia chumba chako alale ,naenda kwa rafiki yangu wa kike nikalale anakataa
Naonyesha msimamo anuna na kuzira na kuondoka usiku huo,namuacha anaenda,nafunga mlango naingia chumbani kwangu nalala,ila nachukua sim kumuuliza alipoenda kulala,hapokei sim,namtext ananijibu "Amesafiri kutoka mkoani km 720 halafu alale mwenyewe,wewe mwanamke hufai na huna huruma"
Wanaume bwana mungu anawaona
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaha...uwe na huruma mkuu....kwa mpenzi mlaji hata 5km ni nyingi mno kumfanyia roho hiyo ya korosho,labda kama kwako bado ni mpenzi mtazamaji.Kumbe hazijafika 700 basi nikimtoa mtu huko na nikamnyima papuchi si vibaya[emoji23][emoji23]
Wewe ndo unafaa kukutana na mie sasa,maana mimi tukikubaliana kukuomba nikule mpaka nikuchunguze mwaka mzima
Naona umekuja na ID nyingine The ListMtu anaweka neno 'Mungu' kwenye mada iliyojaa vitunguu swaumu, na yeye eti ana ndoto ya kuolewa..rubbish!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama dhumuni la kufahamiana ilikuwa mwisho ni kulana hakika utakuwa umemfanyia jambo la ukatili saaana Aisee.Mmefahamiana na mwanaume kwenye mitandao ya kijamii,mnaanza kuchati mnazoeana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyuzi zako , zinanipaga mambo mengi kukuhusu wewe.Tangu tufahamiane hajawahi kunipa hata senti na wala sijawahi muomba,kaniomba kaja mwenyewe ,nimetumia gharama zangu kumhudumia,naenda kumchukulia chumba kwa gharama zangu anakataa,mmmmh hata kama
Sent using Jamii Forums mobile app
But yamkini kulikua na mapatano ndio Mana aliona Ana salitiwa kwakuto timiziwa ahadi alio ahidiwa ndiomana aliondokaMlale kitanda kimoja na hakuna kinachoendelea? Mwanaume kamili au wale wengine hahahahah
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema nn, jamaa umewah kweli....
Huwez amin angekuwah wewe, angetuletea bonge la uzi refuuuuuu sana, akiongea ,akilaumu sana na kukuchora vibaya mnooo.
Ila ngoja kwanza tusikie upande wapili.
Usikute Ulikua unamwambia..."baby ukifika tu nakupa[emoji23][emoji23][emoji23]
Au jamaa, mmekutana laivu ukajikuta unapoteza hamu, tofaut na mlivokua mnawasiliana???.
Maana niwajuavyo wanawake, MKIMWELEWAGA MTU HATA KM NIJANA UMEJUA , BASI LEO UNAWEZA MPA MCHEZO.....wenyewe mnasemaga " sijui nmekuaje mpaka kanila mapema"[emoji23][emoji23]
Most of Men hili hawalijui.Baada ya miezi sita ya kujuana nikiachia papuchi ndiyo naachia moja kwa moja mkuu.
Niko home. Nimetafuta kampani ya sky light wamenigomea my friends [emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]. Namalizia kunywa nilale
Sent using Jamii Forums mobile app
Liwezekanalo leo lisingoje kesho .Ila jamaa ana moyo siwezi safiria papuchi 700km.Inamaana tokea anaanza 0 kilometer hadi zinafika hizo 700 huko njiani kote hakuna wanawake?.Jamani si anavumilia tu siku zinazokuja huenda zikawa nzuri,haraka ya nini?
Sent using Jamii Forums mobile app