Wanaume muda mwingine wanaboa sana

Tangu tufahamiane hajawahi kunipa hata senti na wala sijawahi muomba,kaniomba kaja mwenyewe ,nimetumia gharama zangu kumhudumia,naenda kumchukulia chumba kwa gharama zangu anakataa,mmmmh hata kama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanza to Dodoma just for story telling? [emoji2] bearing in mind of your ID cute love.
I couldn't bear it my dear.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
da we dada huna hururma hivi wakati mnawasiliana kwenye mtandao alikuwa hajakugusia kuhusu kula papa?au mpaka unamkubalia kuja kulala kwako kwanini usijiongeze tu ukamjaalia mzigo? halafu unasema kuku wakwako haraka ya nini siungempa tu aiseee
 
Nadhani hakutanguliza pesa mbele
Wanaume wa mikoani hawajui mambo ya Dar
Hapo angetoa wekundu wa 5 tu mngelala wote na angegeda
 
Kisa avatar yangu mbaya!Ukitokewa na mwenye avatar ya uhandsome unamshobokea kwa kiwango cha lami na kusahau kabisa kuwa una chura ambayo huwa unaitukuza!![emoji1][emoji1][emoji1]
Utakuwa unautizama tuuu kama si kula kwa eyezz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…