Mwanza to Dodoma just for story telling? [emoji2] bearing in mind of your ID cute love.Tangu tufahamiane hajawahi kunipa hata senti na wala sijawahi muomba,kaniomba kaja mwenyewe ,nimetumia gharama zangu kumhudumia,naenda kumchukulia chumba kwa gharama zangu anakataa,mmmmh hata kama
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hizo ndo gia zao,halafu jifanye kukubali kama itafika saa 8 usiku upo salama hahahahah!
Sent using Jamii Forums mobile app[/QU
hahaha....utafika na asubuhi kutakucha fresh tu
hahahhaha!! rahisi tu mbonaEiiish. Kwahiyo alijua atapata slope ya [emoji197] eeeh? Watu wanadhani kutoa utamu ni rahisi hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
hahah....utatoa tu ndani ya wikiEeeh hamna kutoa papuchi kabla ya miezi sita
Usinenepe sana..maintain huo huo mwili niliokuona nao😀
Sio wanaume wote wako hivyo. Still there a decent men out thereHahahahaha. Ameshajikoki ale papa halafu unamwambia habari gani???[emoji23][emoji23][emoji23]
Hao ndiyo wanaume bhana.
Unamdanganya mwenzio, we are out here! Caring, dedicating and we ain't for everybody
Ooh kumbe, basi hongereniUnamdanganya mwenzio, we are out here! Caring, dedicating and we ain't for everybody
Hivi bi dada huyu unaempiga madongo ni nani??😂😂😂😂😂Na ukiliwa unaitwa Malaya. Namshukuru bby wangu huku Ana heshima ndo anaenipa jeuri ya kuwacheka hawa wanaoweweseka na umalaya wangu. Maana kunila hawawezi wataishia kubabaika tu na kuita majina na vile nawajua ndo kabisaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaahahaah. Nlijua tuMwenza acha tu. Halafu limtu hata huwazi kulipa hata hug ya juu juu. Limetongoza limekataliwa linaanza kuweweseka.
Na hayuko mmoja. Kuna kikundi cha mataahira huku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Funguka fungukaaaaaa😂😂😂😂😂Tatizo huwezi kubali kila mtu. Sasa mkishaonana nje ya hapa mtu anataka akukule jamani. Na ukimkazia ndo na ID fake anatumia kukunanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisema hivyo tunakujia na bonge la Uzi kama loteeeee😉😉😉😉😉Wakijifariji huwa nawajisemea we kaka huna haya si nimekukataa wewe huo umalaya umeuona wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Me pia nimo???Haha pole jamani, wanaume sijui wapoje yani ukishamkubalia kufahamiana nae anaona tayari umeshakubali kila kitu, ninong'oneze hilo kundi la washamba teh
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe hata hela hawana kama Mimi?? Rule namba moja ukitaka papuchi uwe na hela bhanaHawatangazi maana si uongo. Kwenye majukwaa ndo unaona huyu Malaya. Sijui mdangaji sijui nyoko nyoko. Najisemea we kaka wewe una hela gani ya kudangwa yarab.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hakutanguliza pesa mbeleMmefahamiana na mwanaume kwenye mitandao ya kijamii,mnaanza kuchati mnazoeana
Siku anakuomba aje kukusalimia unakokaa,unamwambia hamna shida njoo
Anapanga siku anakuja,unampokea,unamkaribisha nyumbani kwako
Unampikia,anakula anashiba mnapiga stories
Inafika usiku unaenda guest kumchukulia chumba cha kulala ili apumzike ili kesho mzidi kupiga stori na kufahamiana zaidi anakataa
Anakulazimisha mlale naye chumbani kwako,unakataa unampa sababu ,kwa kuwa ni mara ya kwanza kukutana uso kwa uso nakuomba ukalale guest kesho tutaongea zaidi ,bado anakataa anakulazimisha mlale chumbani kwako
Basi unaona isiwe shida halafu ni mgeni unamuachia chumba chako alale ,naenda kwa rafiki yangu wa kike nikalale anakataa
Naonyesha msimamo anuna na kuzira na kuondoka usiku huo,namuacha anaenda,nafunga mlango naingia chumbani kwangu nalala,ila nachukua sim kumuuliza alipoenda kulala,hapokei sim,namtext ananijibu "Amesafiri kutoka mkoani km 720 halafu alale mwenyewe,wewe mwanamke hufai na huna huruma"
Wanaume bwana mungu anawaona
Sent using Jamii Forums mobile app
alf walivyo wabishi wanajua na kuzira na kinga atagoma kuvaaJamani si anavumilia tu siku zinazokuja huenda zikawa nzuri,haraka ya nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa unautizama tuuu kama si kula kwa eyezz