Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Viatu vikimtosha sawa tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenyewe kashajijua huko aliko
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viatu vikimtosha sawa tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenyewe kashajijua huko aliko
Na avivaeee
....So Google transileti yako unayo
Ohhh for sure! What kind of student is forgetting her books?? Both texts and exercise??
Ha ha ha ha Gotcha!!!.Ohhh for sure! What kind of student is forgetting her books?? Both texts and exercise??
Hapo kwenye ndege wa kwako hao ndo panaharakisha...Fikiria
iyo inatoboa mbeya mkuu ha ha ha ha ha haHivi dar hadi Arsh ni Km ngapi??
Sasa hii gotcha hii. Mwanafunzi utawashinda walimu kwa kiingilishi chako. Hivi yule mmalekani wako anaitwa nani?? Yuko wapi???Ha ha ha ha Gotcha!!!.
Mwanafunzi wa mwendokasi siyo?Sasa hii gotcha hii. Mwanafunzi utawashinda walimu kwa kiingilishi chako. Hivi yule mmalekani wako anaitwa nani?? Yuko wapi???
😂😂😂😂😂😂 au hana bundle?? Mchana mwema aiseeMwanafunzi wa mwendokasi siyo?
Atakuwa yupo usa river kapata na bebee wa kimeru.
Thank you... until then, Good Afternoon![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au hana bundle?? Mchana mwema aisee
Mmefahamiana na mwanaume kwenye mitandao ya kijamii,mnaanza kuchati mnazoeana
Siku anakuomba aje kukusalimia unakokaa,unamwambia hamna shida njoo
Anapanga siku anakuja,unampokea,unamkaribisha nyumbani kwako
Unampikia,anakula anashiba mnapiga stories
Inafika usiku unaenda guest kumchukulia chumba cha kulala ili apumzike ili kesho mzidi kupiga stori na kufahamiana zaidi anakataa
Anakulazimisha mlale naye chumbani kwako,unakataa unampa sababu ,kwa kuwa ni mara ya kwanza kukutana uso kwa uso nakuomba ukalale guest kesho tutaongea zaidi ,bado anakataa anakulazimisha mlale chumbani kwako
Basi unaona isiwe shida halafu ni mgeni unamuachia chumba chako alale ,naenda kwa rafiki yangu wa kike nikalale anakataa
Naonyesha msimamo anuna na kuzira na kuondoka usiku huo,namuacha anaenda,nafunga mlango naingia chumbani kwangu nalala,ila nachukua sim kumuuliza alipoenda kulala,hapokei sim,namtext ananijibu "Amesafiri kutoka mkoani km 720 halafu alale mwenyewe,wewe mwanamke hufai na huna huruma"
Wanaume bwana mungu anawaona
Sent using Jamii Forums mobile app
Sitolipiza mimi
Mie nakupendaga siku zoteDaah una akili hadi unaboa yani.
Nimekupenda bure. [emoji111]
Kupendwa raaaha! Asante sana mkuu.Mie nakupendaga siku zote