Wanaume muda mwingine wanaboa sana

Wanaume muda mwingine wanaboa sana

So Google transileti yako unayo
....
IMG_20190104_113954_522.jpeg
 
Haraka ya nini na huku ndege wa kwako?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye ndege wa kwako hao ndo panaharakisha...Fikiria
1. Amesafiri 700km --- halafu apige stori tu
2. Anracha papa ngapi huko aje kwako then umletee maruweruwe
3. Wakati anatoka Arusha, huku wewe na yeye mkijua ndege ni wake, kwa nini asikatae kulala guest?
 
Alijua anakula mzigo😂😂😂😂😂😂kama nakuona alivyopiga mazoezi au kumeza viagra halafu ubao unasoma bila bila😹😹😹😹
 
Kosa ni kukutana naye hapo kwako akaona kuliko kuingia gharama za guest house alale kwako maana upo peke yako
 
Mmefahamiana na mwanaume kwenye mitandao ya kijamii,mnaanza kuchati mnazoeana

Siku anakuomba aje kukusalimia unakokaa,unamwambia hamna shida njoo

Anapanga siku anakuja,unampokea,unamkaribisha nyumbani kwako

Unampikia,anakula anashiba mnapiga stories

Inafika usiku unaenda guest kumchukulia chumba cha kulala ili apumzike ili kesho mzidi kupiga stori na kufahamiana zaidi anakataa

Anakulazimisha mlale naye chumbani kwako,unakataa unampa sababu ,kwa kuwa ni mara ya kwanza kukutana uso kwa uso nakuomba ukalale guest kesho tutaongea zaidi ,bado anakataa anakulazimisha mlale chumbani kwako

Basi unaona isiwe shida halafu ni mgeni unamuachia chumba chako alale ,naenda kwa rafiki yangu wa kike nikalale anakataa

Naonyesha msimamo anuna na kuzira na kuondoka usiku huo,namuacha anaenda,nafunga mlango naingia chumbani kwangu nalala,ila nachukua sim kumuuliza alipoenda kulala,hapokei sim,namtext ananijibu "Amesafiri kutoka mkoani km 720 halafu alale mwenyewe,wewe mwanamke hufai na huna huruma"

Wanaume bwana mungu anawaona

Sent using Jamii Forums mobile app

Huu nao ni ujinga wa kiwango cha fly over. Mimi kama nakuja basi lazima tuwe tumekubaliana hilo kwanza maana najua kitakachotokea, na kama hutaniruhusu kulala waote siji
 
Back
Top Bottom