Na mie n mewaza Kama wewe. Ngoja tusubiriAkija jf lazima akuandikie uzi akupondeee mashetaniii tu nyie wanaume mxeeeeew
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zote karibu mwanamke mzuri !!Kupendwa raaaha! Asante sana mkuu.
Halafu si nilishakwambia mimi nimezeeka? Kwanini unitese na hizi lugha zenu ngumu za kisasa?
Basi uache uchokozi. Muone [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu si nilishakwambia mimi nimezeeka? Kwanini unitese na hizi lugha zenu ngumu za kisasa?
Naachaje sasa kwa mfano kwa mtoto kama wewe?Basi uache uchokozi. Muone [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
usinenepe kuwa kawaida utayashindwa
Samahani hilo jina lako la mwisho linasomekaje?Hata mimi ningenuna....
Kwangu hata ukipiga tu simu, nawaza nitakavyoitafuna hiyo papa.......sembuse ndio nifunge safari km 720 afu then uninyime chiu, honestly lazima ninune hata mimi.
cutelove ajamtendea haki huyo jamaa....
Sent using Jamii Forums mobile app
Lengo kuonana siyo kupewa papuchi,papuchi angepewa siku zingine zijazo,haraka ya nini sasacutelove leo umeniacha hoi....
Km 700..mtu aje kupiga story?!!! Serious!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Oohs sawa sawaUkiona linakupa shida kuli-spell.....unaweza anza na herufi "M" mwanzoni.
Naomba mrejesho plz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana mnakosa vitam,kweli siku hiyo hiyo tu unataka kitumbua!!! Haitawezekana,cool down jipe muda na subira,utapewa mpaka utachoka mwenyeweWanawake . Mwanaume akishasema nakuja 80% jiandae . Mi ni bora ukatae kuja kuliko kuninyima nyima mzgo
Sent using Jamii Forums mobile app
Haraka zake tu huenda angepewa siku zingineMwanaume anafunga safari na kukufuata ulipo anachowaza kichwani kwake ni bakuli la asali tu..mengine hua ni ziada..sasa uamwambia akalale nyumba ya wageni na stim zimeshampanda na style za kitombo ameshazijenga kichwani mwake ..kununa lazima bana..hata ningekua mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sawa, na mapenzi sio lazima kusex ,sex huja baadae baada ya kuzoeanaHapana bhana, ujamtea haki huyo jamaa.
Afu unaweza kuta hata akuwaza mambo ya mgegedo, sema baada ya kukuona sasa ulivyonona, toto toto, kisamvu ndio usiseme.....kwanini akili zisimluke jamani!!!! Kwaio ungemtendea haki tu...afu kumbuka ni dhambi, kumnyima mtu kitu ambacho unacho.
Note: nakuibia hii siri leo.....
Ukiona mwanaume mwenye akili zake timamu, amefunga safari ya masafa marefu like mkoa kwa mkoa, ili kukupata wewe.....jua huyo mtu, kafa kaoza kwako. Amekupa value kubwa sana....maana sisi wanaume tunakuwaga very selective hasa linapokuja suala la kudate na mwanamke aliyepo mbali.
Ila hakikisha amekuja kwa ajili ya kuonana na wewe tu, asije akakudanganya kwamba amekufata wewe...kumbe amefata mishe zake. UTAKUWA HAUNA BAHATI DADA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante broSawa mama, naona una msimamo wa kialkaida.
Ila unaonekana upo vizuri cutelove....maneno yako, yamenipa picha we ni mwanamke wa namna gani. Hongera mama....
Sent using Jamii Forums mobile app