na nilichogundua kwa wanawake ndo hichi,,yaani nakua sina mda wa kuomba papuchi nakua as if sidindishi mwishowe anatoa mwenyeweJamani si anavumilia tu siku zinazokuja huenda zikawa nzuri,haraka ya nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahna nilichogundua kwa wanawake ndo hichi,,yaani nakua sina mda wa kuomba papuchi nakua as if sidindishi mwishowe anatoa mwenyewe
ss kwa nn umnyime?Mmefahamiana na mwanaume kwenye mitandao ya kijamii,mnaanza kuchati mnazoeana
Siku anakuomba aje kukusalimia unakokaa,unamwambia hamna shida njoo
Anapanga siku anakuja,unampokea,unamkaribisha nyumbani kwako
Unampikia,anakula anashiba mnapiga stories
Inafika usiku unaenda guest kumchukulia chumba cha kulala ili apumzike ili kesho mzidi kupiga stori na kufahamiana zaidi anakataa
Anakulazimisha mlale naye chumbani kwako,unakataa unampa sababu ,kwa kuwa ni mara ya kwanza kukutana uso kwa uso nakuomba ukalale guest kesho tutaongea zaidi ,bado anakataa anakulazimisha mlale chumbani kwako
Basi unaona isiwe shida halafu ni mgeni unamuachia chumba chako alale ,naenda kwa rafiki yangu wa kike nikalale anakataa
Naonyesha msimamo anuna na kuzira na kuondoka usiku huo,namuacha anaenda,nafunga mlango naingia chumbani kwangu nalala,ila nachukua sim kumuuliza alipoenda kulala,hapokei sim,namtext ananijibu "Amesafiri kutoka mkoani km 720 halafu alale mwenyewe,wewe mwanamke hufai na huna huruma"
Wanaume bwana mungu anawaona
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama tungejadili,nisingempa kitumbua siku hiyo hiyo ,angesubiri tu ,kuja kunisalimia sio kusex,mapenzi yanakuwa matam pale mnapozoeana hahaahah
Sawa sawa.Mmefahamiana na mwanaume kwenye mitandao ya kijamii,mnaanza kuchati mnazoeana
Siku anakuomba aje kukusalimia unakokaa,unamwambia hamna shida njoo
Anapanga siku anakuja,unampokea,unamkaribisha nyumbani kwako
Unampikia,anakula anashiba mnapiga stories
Inafika usiku unaenda guest kumchukulia chumba cha kulala ili apumzike ili kesho mzidi kupiga stori na kufahamiana zaidi anakataa
Anakulazimisha mlale naye chumbani kwako,unakataa unampa sababu ,kwa kuwa ni mara ya kwanza kukutana uso kwa uso nakuomba ukalale guest kesho tutaongea zaidi ,bado anakataa anakulazimisha mlale chumbani kwako
Basi unaona isiwe shida halafu ni mgeni unamuachia chumba chako alale ,naenda kwa rafiki yangu wa kike nikalale anakataa
Naonyesha msimamo anuna na kuzira na kuondoka usiku huo,namuacha anaenda,nafunga mlango naingia chumbani kwangu nalala,ila nachukua sim kumuuliza alipoenda kulala,hapokei sim,namtext ananijibu "Amesafiri kutoka mkoani km 720 halafu alale mwenyewe,wewe mwanamke hufai na huna huruma"
Wanaume bwana mungu anawaona
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sawa, na mapenzi sio lazima kusex ,sex huja baadae baada ya kuzoeana
Sent using Jamii Forums mobile app
Asa tatizo liko wap hapo jmn yani nichome nauli kuja kukusalimia ww ni mgonjwaMmefahamiana na mwanaume kwenye mitandao ya kijamii,mnaanza kuchati mnazoeana
Siku anakuomba aje kukusalimia unakokaa,unamwambia hamna shida njoo
Anapanga siku anakuja,unampokea,unamkaribisha nyumbani kwako
Unampikia,anakula anashiba mnapiga stories
Inafika usiku unaenda guest kumchukulia chumba cha kulala ili apumzike ili kesho mzidi kupiga stori na kufahamiana zaidi anakataa
Anakulazimisha mlale naye chumbani kwako,unakataa unampa sababu ,kwa kuwa ni mara ya kwanza kukutana uso kwa uso nakuomba ukalale guest kesho tutaongea zaidi ,bado anakataa anakulazimisha mlale chumbani kwako
Basi unaona isiwe shida halafu ni mgeni unamuachia chumba chako alale ,naenda kwa rafiki yangu wa kike nikalale anakataa
Naonyesha msimamo anuna na kuzira na kuondoka usiku huo,namuacha anaenda,nafunga mlango naingia chumbani kwangu nalala,ila nachukua sim kumuuliza alipoenda kulala,hapokei sim,namtext ananijibu "Amesafiri kutoka mkoani km 720 halafu alale mwenyewe,wewe mwanamke hufai na huna huruma"
Wanaume bwana mungu anawaona
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatareeee sheikh....Safi sana ,you are such a Good girl.
Nafaham mpaka naww unamuita kwako niwazi kua "Umeshanogewa naye na ulikua tayar kumpa mambo motomoto".
Ila nilazima umuonyeshe sehem yako ya pili ya aibu za kike wakat huo ukisoma na uvumilivu wake
Kuku wako haraka yann?????.
Ndomara yakwanza, niwazi kua hata miili ilikua haijazoeana, ivo story zingesaidia kuleta Ukaribu wa kimwili zaidi.
Huyo jamaa hajiamin, na niwazi kua alijua asingekutafuna usiku huo basi Asingekaa kukutafuta. Na ametoka huko akijua akifika anakutafuna...( Ungetafunwa kweli wee ungekua mtu wa ajabu ).
Mimi najua, Kesho yake angekutafuna tuuu. Tena angekutafuna hata mchana. Maana naww uko nyumban kwako ungelala lkn kamoyo kanakuuma, unamtaman. Alafu kumlaza mtoto wawatu uko. [emoji23][emoji23][emoji23]
Serious, wanawake mnaroho nzuri sanaaa, nakama Msingeumbwa, Dunia ingeboa sana.
Naomba unikaribishe mkuu. Vile sinaga haraka, hata km ni 2023 nitasubiri tuuuu ,sinaga Haraka mahali ambapo Tumain lipo[emoji119]
Nitashukuru sanaaaaaaaaa !!!!!
Sheikh hatare sana unaambiwaSema nn, jamaa umewah kweli....
Huwez amin angekuwah wewe, angetuletea bonge la uzi refuuuuuu sana, akiongea ,akilaumu sana na kukuchora vibaya mnooo.
Ila ngoja kwanza tusikie upande wapili.
Usikute Ulikua unamwambia..."baby ukifika tu nakupa[emoji23][emoji23][emoji23]
Au jamaa, mmekutana laivu ukajikuta unapoteza hamu, tofaut na mlivokua mnawasiliana???.
Maana niwajuavyo wanawake, MKIMWELEWAGA MTU HATA KM NIJANA UMEJUA , BASI LEO UNAWEZA MPA MCHEZO.....wenyewe mnasemaga " sijui nmekuaje mpaka kanila mapema"[emoji23][emoji23]
Mi ndo nawafumuana hivyo hivyoNa wewe demu ambaye unakuja ghetto cku ya kwanza alafu kumbe upo period iv unakuwa na maana gani!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani alichokifanya huyu dada ni kinyume na haki za binadamu, ilitakiwa aende ofisi za ustawi wa jamii ili wamlazimishe demu atombweMwanaume anafunga safari na kukufuata ulipo anachowaza kichwani kwake ni bakuli la asali tu..mengine hua ni ziada..sasa uamwambia akalale nyumba ya wageni na stim zimeshampanda na style za kitombo ameshazijenga kichwani mwake ..kununa lazima bana..hata ningekua mimi
Sent using Jamii Forums mobile app