Wanaume muda mwingine wanaboa sana

Pole.

Japo ulimtosa inaonesha ulimuelewa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahhahha huyo hafai n mzinifu tu dada fyekelea mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani ndomu zilikuwa zimeisha?
 
Duuh aisee, ila Inategemeana namna mlivyo kuwa mnawasiliana,kuna baadhi ya mawasiliano mkuu Inawezekana mlikuwa mnaonyesha distance ndo kikwazo cha naniliuuuu,anashangaa amefika unamgeuka
 
Unatakiwa kujua aina ya charting yenu befor kuja kwake kwako ilikua ni ya aina gani usije uka walaum wanaume kumbe wote milikua lugha gongana hakuna mwaname mzembe kiasi hicho .
 
Ni bora ulimbania,maana baadhi ya wanaume ni wasenge sana,hapo kama ungekubali kulala nae pia angekudharau na kukusema kuwa we ni mwepesi tena malaya
 
Mungu anipe ujasir kama wa jamaa yaan nyie wanawake mna masihara nisafir km 700 then unichezee akili yangu!
Ukiona mwanaume amekubali hilo ujue ww ni mbovu na akienda kulala asubuh anaamkia ubungo no notification
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…