Wanaume muda mwingine wanaboa sana

Kwanini humkatalii hadi aunguze nauli yake?wanawake watu wa ajabu sana hapo akilala guest kesho yake unampa k bila shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaonekana unajua kutunza [emoji1] wanawake kama wewe ni wachache sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Luna wanaume wanabahati kirahisi endapo ningefeli hapo sirudi tena hapo na nakifuta unisahau kabisa
 
Dada, navyokuja kwako huko nifunge safari ya zaidi ya kilometa 720 yakuoasa ujiongeze, niache Moshe zangu nije kwako kupiga stori tu!!! Na una bahati aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…