CaprePoint
Member
- Dec 30, 2018
- 46
- 96
Kashindwa kujizuia kuvumilia... afanyaje sasa!?Mambo mazuri huwa hayataki haraka, sasa mtu anafika tu anataka na mzigo siku hyo hyo heee kama ni lijini je!?
Mimi hawanipati Ng'oo!!Ukiwa unapagawa na vitu vya kijinga,
Wataendelea kukufanyia hvo daima.
Being good judgemental, utajua mwanaume anae faa na asiye faa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi ungemwambia mapema kuondoa hiyo sintofahamu! Maana boyz akili zikisha hamia kichwa cha chini humwambii kituKwani ni lazima mlale pamoja siku hiyo? Lazima mpeane muda kwanza: mtu mnakutana uso kwa uso siku hiyo anataka kitu khaaaa! Kwangu hamna
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee wengine wanakubali kwamba hamna kitakachotokea. Na analazimisha kulala na akiahidi hatokufanya chochote. Ina maana mkuu tabia zenu hamzijui au?Hahha issue ni kumwambia mapema kabla hajaja.. sio mnachati vizuri PM na ahadi za kupeana mambo alafu utegemee akikuona atavumilia [emoji1][emoji1] labda uwe angani
TaratibuAkija jf lazima akuandikie uzi akupondeee mashetaniii tu nyie wanaume mxeeeeew
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi hawanipati Ng'oo!!
Mwanaume wa mtandaoni sitaki acha nibangaize na wa mtaani hata mwaka mzima anavumilia.
Wa mtandaoni kukutana tuu kujuana na papuchi anataka ...! Akishakuwa wa mtandaoni Mimi hanifai sina haja ya kujudje mkuu.
Ni waelewa sana! Sema akili ziki hamia kichwa cha chini ....huwa hakisikilozwi kitu! Ila inategemea mtu na mtu msi generalize wanaume wote mnakoseaWee wengine wanakubali kwamba hamna kitakachotokea. Na analazimisha kulala na akiahidi hatokufanya chochote. Ina maana mkuu tabia zenu hamzijui au?
Mimi napenda tukiwa wapenzi tujigijigi hata baada ya miezi sita.Mimi nachukua siku 3 tu kujua tabia ya msichana yote.
Pia naweza kumuomba sex siku ya nne.
Sasa wew ukipata boy anae faa,
Wew huna hisia hadi umchape calendar ndefu hvo????
Mapenz mwanzo yanakuaga matamu balaa, hisia kama zote.
Kwako vip?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hizo ndo gia zao,halafu jifanye kukubali kama itafika saa 8 usiku upo salama hahahahah!Wee wengine wanakubali kwamba hamna kitakachotokea. Na analazimisha kulala na akiahidi hatokufanya chochote. Ina maana mkuu tabia zenu hamzijui au?
Hii ni kwa wanaume wote hatolewi hata mmoja mkuu.Ni waelewa sana! Sema akili ziki hamia kichwa cha chini ....huwa hakisikilozwi kitu! Ila inategemea mtu na mtu msi generalize wanaume wote mnakosea
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi napenda tukiwa wapenzi tujigijigi hata baada ya miezi sita.
Ndiyo nitasikia utamu na nitakuwa huru na kileleni nitafika.
SAA nane? Mbona mbali hivyo??Na hizo ndo gia zao,halafu jifanye kukubali kama itafika saa 8 usiku upo salama hahahahah!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungemfanyaje! Sukuma ndani! HahahaHii ni kwa wanaume wote hatolewi hata mmoja mkuu.
Sipati picha ingekuwa Mimi mtu aanze kuniziria hivyo[emoji23][emoji23][emoji23]
Baada ya miezi sita ya kujuana nikiachia papuchi ndiyo naachia moja kwa moja mkuu.Duuuuuu, nakuomba bwana yako akiwa na mchepuko usimlaumu hata kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nielekeze sasa jamani nije kukutembelea ili nikalale guest, 2019 hii jamani.
Nimeshaongea sana wana generalize wanaume wote! Hapo ndo wanakosea
Karibu!Nielekeze sasa jamani nije kukutembelea ili nikalale guest, 2019 hii jamani.