Wanaume muda mwingine wanaboa sana

Hahahaaaaa,
Mwanaume anae fukuzia penz kwa miezi 6, nakwambia 100% ni malaya totally

Sis ambao tuna mapenz ya dhati nikikupenda ukanipiga chenga wiki moja hata kiss sipati, najiweka zangu pemben mapema, sisemi la moyon tena sms kukutumia hadi mashetan yanipande, nakua cool sishoboki tenaaa...

Naamua kurud kwa mpenz wangu mpira wa miguu.
Maana nikiendelea kukutafuta nitakufa na nyege.
Baada ya miezi sita ya kujuana nikiachia papuchi ndiyo naachia moja kwa moja mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakweliii wawe na huruma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wee wengine wanakubali kwamba hamna kitakachotokea. Na analazimisha kulala na akiahidi hatokufanya chochote. Ina maana mkuu tabia zenu hamzijui au?
Itakua sio wote mkuu, wengine tunaheshimu hisia za mtu!! Kama hataki bora kuacha maana ukilazimisha kutakua hamna kuenjoy hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…