Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,769
- 16,799
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume wengi tupo hivyo kusotea mwanamke kama nasotea pesa hiyo hakunaHahahaaaaa,
Mwanaume anae fukuzia penz kwa miezi 6, nakwambia 100% ni malaya totally
Sis ambao tuna mapenz ya dhati nikikupenda ukanipiga chenga wiki moja hata kiss sipati, najiweka zangu pemben mapema, sisemi la moyon tena sms kukutumia hadi mashetan yanipande, nakua cool sishoboki tenaaa...
Naamua kurud kwa mpenz wangu mpira wa miguu.
Maana nikiendelea kukutafuta nitakufa na nyege.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zako wa damu tu hawafungi safari kuja kukusalimia mtu baki ndo inawezekana? jiongeze
Mmmmh!Naona umeamua kuja kunichoresha huku...anyways wk end hii nakuja natalala guest
Sent using Jamii Forums mobile app
Angevumilia kwanza,huenda angekumbukwa baadae hahahaahah!Wew mwanamke unaroho mbaya kwanin kumtesha mtoto wa mwanamke mwenzio yani Asafiri umbali wote harafu unamwambie mpige story kueni Serious
Mmmh! Isingewezekana hata kwa njia ganiNdugu zako wa damu tu hawafungi safari kuja kukusalimia mtu baki ndo inawezekana? jiongeze
Sent using Jamii Forums mobile app
Cute B, Huko Kinondoni vijana hamjambo? Nilikuwa huko leo.Hahahahaha. Ameshajikoki ale papa halafu unamwambia habari gani???[emoji23][emoji23][emoji23]
Hao ndiyo wanaume bhana.
[emoji23][emoji23][emoji23]uje unitembeleeWanaume hatujawahi kuwa wa kawaida aisee hata mimi nasepa.
Wewe nawe umesahau, mimi sijawahi kuishi kinondoni. Kapitie mafaili vizuriii.Cute B, Huko Kinondoni vijana hamjambo? Nilikuwa huko leo.
Anyway, nakumisi my dear.
Na ela ilivyokuwa ngumu, kweli mtu akate ticket ya yale magari makubwa aje kumsalimia tu, mbona ai make sense, after all hana ndugu apande daladala ya 400 akasalimie. Wanawake saa nyingine wajiongeze.Kwa akili zako mtu achome nauli ili tu mpige story? Hakuna hela inayopotea bure
If you work for living then why do you kill yourself working?
Duuuhhhhh! Labda kama ulinidanganya my dear.Wewe nawe umesahau, mimi sijawahi kuishi kinondoni. Kapitie mafaili vizuriii.
Hapana, Mimi huwa sisemi uongo.Duuuhhhhh! Labda kama ulinidanganya my dear.