Wanaume muoeni huyu dada

Huyo alikua anawatosa sana waliokua wanamtokea akijiona mzuri na mwamba,mwisho wa siku utasikia anafuga serengeti boi
 
Sasa tutamjuaje wakati humtaji mkuu? Mwishoe tutoa usiemdhamilia..taja tuu..unaogopa nini humu jf?
 
Huyo alikua anawatosa sana waliokua wanamtokea akijiona mzuri na mwamba,mwisho wa siku utasikia anafuga serengeti boi
wahuni tu ndo aliwakataa mume kabisa bado hajaja
 
Wanaume wa siku hizi sio wa mchezo mchezo,Sura hata mbuzi anayo...Mambo ya kuangalia uzuri yalikuwa miaka ya 90.
 
ni bikra mpaka sasa .
Labda kuna mtu alimtupia mkosi wa kuchukia wanaume! yaani hata wazungu huko London hawataki!!!!!??? Hiyo bikira siku hiyo ya harusi itabidi itolewe kwa shoka maana uume utashindwa
 
ni bikra mpaka sasa .
Labda kuna mtu alimtupia mkosi wa kuchukia wanaume! yaani hata wazungu huko London hawataki!!!!!??? Hiyo bikira siku hiyo ya harusi itabidi itolewe kwa shoka maana uume utashindwa
 
Labda kuna mtu alimtupia mkosi wa kuchukia wanaume! yaani hata wazungu huko London hawataki!!!!!??? Hiyo bikira siku hiyo ya harusi itabidi itolewe kwa shoka maana uume utashindwa
ahaaaa wazungu sio waislam ndo maana hawataki hataki zinaa anataka ndoa halali
 
ahaaaa wazungu sio waislam ndo maana hawataki hataki zinaa anataka ndoa halali
Hata waislamu wapo, labda basi tu hapendi kugegedwa! I wish ningekuwa yeye aisee! maana mgegedo nao sometimes unachosha ukizidishwa!!!!
 
hana tatizo lolote hapendi tu zinaa ni mcha mungu sana

Kuwa na boyfriend sio kutenda zinaa.

Na tena kama ni mcha Mungu kiivyo imekuaje hajapata wa kufanana nae? Maana Mungu hamtupi mja wake. Kuna kitu hakiko sawa.
 
Kuwa na boyfriend sio kutenda zinaa.

Na tena kama ni mcha Mungu kiivyo imekuaje hajapata wa kufanana nae? Maana Mungu hamtupi mja wake. Kuna kitu hakiko sawa.
wanaume wa siku hizi mnapenda kusex bila ndoa . hakuna anetaka kuwa kwenye mahusiano bila sex shida hapo ndo inapotokea ukimnyima papuchi anakimbia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…