Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
- #41
mi nikitaka mtu humu naazishatu thread mkuu kuna shida?Sema mkuu unatafuta mchumba kwa nguvu kuanzia ID yako na matendo, umeona age inasogea kwa kasi ya fast jet.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi nikitaka mtu humu naazishatu thread mkuu kuna shida?Sema mkuu unatafuta mchumba kwa nguvu kuanzia ID yako na matendo, umeona age inasogea kwa kasi ya fast jet.
Poa tu.pole daby
kuna baraka kubwa sana katika kuombea wengine mkuuuna huruma hongera wewe mwenyewe unatafuta miaka yote leo unamuombea mwenzio tumuoe UNADHANI KUOA NI SURA AU HURUMA hahhahahahhhhhhhh
acha ubashite mkuu mbona wenzako wameelewa?Hujatuambia tumuoe nani halafu unasema tumuoe?
Kama humtaji jina nini mantiki ya uzi wako.?
Mkuu siyo rahisi kupata hapa ndani/ mkuu kama hiyo picha ni yako baada ya miaka 2 shikamoo utakuwa nazo nyingi sana, changamka mkuu.mi nikitaka mtu humu naazishatu thread mkuu kuna shida?
hahaha nimekupenda bure njoo nikuoe wewe uwe mke wa tatu uache kutafutakuna baraka kubwa sana katika kuombea wengine mkuu
hta nikifika miaka mia wapo watakaonipenda tuMkuu siyo rahisi kupata hapa ndani/ mkuu kama hiyo picha ni yako baada ya miaka 2 shikamoo utakuwa nazo nyingi sana, changamka mkuu.
Sina muda wa kutoto kubashiri. Endeleza utoto..acha ubashite mkuu mbona wenzako wameelewa?
nitumie cv yako mkuuAkiwa ni Zuhura Yunus wa BBC hapo poa ni mwanamke bora sana kwangu
Mkuu hayo ni maneno ya kwenye biblia, ukifika miaka 30 utaniambia tuombe Mungu.h
hta nikifika miaka mia wapo watakaonipenda tu
hapanaMm nataka kukuoa wew uko tayari??
hana tatizo lolote hapendi tu zinaa ni mcha mungu sanaKama ni huyo anaeongelewa na hana hata boyfriend kwa umri ule basi ana matatizo si bure
hajaniambia nimtangazie nimemuona tu ni bora .Amekuomba umsaidie kumtangazia au ndiyo kuona wengine no bora kuliko wewe?
Ana asili ya wapi?ni mtangazaji wa shirika moja la habari duniani.
wengi mnamfahamu sitaki kumtaja labda salim kikeke amtaje . that woman ni mzuri ,ana adabu na heshima ni mcha mungu ila hana hata boyfriend . msiniulize nimejuaje. i wish i could be a man ! nyie wanaume mnataka mwanamke wa aina gani jamani.ningekuwa na kaka ningemuozesha . nimewapa chimbo naombeni mrejesho
ulishaniona nikitafuta nikakosa? au unaongea tu unajua status yangu sasa hivi?Baada ya wewe kutafuta mpk umechoka umeona utumie gia ya mwenzako ili akipata siku ya harusi ujifanye moja ya maids ili wageni waalikwa wakuone. Si unajua tena wageni wengine watatoka nje ya nchi. Hongera una akili kubwa.
ohooooooUngeweka na picha tumtambue yukoje.