Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Hakuna mwanamke Namtamani kama yule.Hivi Shekha Nassor wa Shear Illusion kashaolewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mwanamke Namtamani kama yule.Hivi Shekha Nassor wa Shear Illusion kashaolewa?
Cc: Bi Lizaboni, Dada BarbarosaHivi Bi.Samia ana mume?
Na macho mazuri vile akose Mume?Nami nahitaji jibu
Miss Natafuta, nduguyo Bujibuji moyo Wangu mpweke. Nipe connectionNi mtangazaji wa shirika moja la habari duniani.
Wengi mnamfahamu sitaki kumtaja labda amtaje. That woman ni mzuri, ana adabu na heshima ni mchamungu ila hana hata boyfriend.
Msiniulize nimejuaje, I wish I could be a man! Nyie wanaume mnataka mwanamke wa aina gani jamani? ningekuwa na kaka ningemuozesha .
Nimewapa chimbo naombeni mrejesho..
Ooh.... sh!!!t Hivi kumbe ameolewa tayari?
Mapenzi hayana mwenyeweMkuu natafuta huyu mama nilishamwanzishia uzi ukafutwa. Kwa umri wake ni zaidi ya dada kwangu ila nilitokea kumpenda saana. I wish kama angekuwa wa age yangu.
Anaongea fulani tamu, uso analipa hakopeshi pia kwa Muonekano anaheshima nastaha. I love her. Umri tatizo.
unamzungumzia Regina?Yule aliyekua clouds halafu akaenda BBC,anapenda serengeti boyz sana
Ni bikra????hana tatizo lolote hapendi tu zinaa ni mcha mungu sana
Kidume upo?
Ebu dondosha cont.....zake PM ili nimtafute...mi sijamtaja mtu bna ila muoeni huyu dada jamani
Mwisho wa sku utaomba na cv za kilungu..........nitumie cv yako mkuu
Naomba mawasiliano nae,,plzAna sifa nzuri sana,umewahi kujiuliza kwa nini hana boyfriend?
Unaweza ukajikuta unaingia kwenye tanuru la moto
Niunganishenikuunganishe?
ndo mumuoe sasa kwanini mdada mzuri vile mnamuacha
niunganishenikuunganishe?
DuuhNi mtangazaji wa shirika moja la habari duniani.
Wengi mnamfahamu sitaki kumtaja labda amtaje. That woman ni mzuri, ana adabu na heshima ni mchamungu ila hana hata boyfriend.
Msiniulize nimejuaje, I wish I could be a man! Nyie wanaume mnataka mwanamke wa aina gani jamani? ningekuwa na kaka ningemuozesha .
Nimewapa chimbo naombeni mrejesho..