Wanaume muoeni huyu dada

Wanaume muoeni huyu dada

Ni mtangazaji wa shirika moja la habari duniani.

Wengi mnamfahamu sitaki kumtaja labda amtaje. That woman ni mzuri, ana adabu na heshima ni mchamungu ila hana hata boyfriend.

Msiniulize nimejuaje, I wish I could be a man! Nyie wanaume mnataka mwanamke wa aina gani jamani? ningekuwa na kaka ningemuozesha .

Nimewapa chimbo naombeni mrejesho..
Miss Natafuta, nduguyo Bujibuji moyo Wangu mpweke. Nipe connection
 
Mkuu natafuta huyu mama nilishamwanzishia uzi ukafutwa. Kwa umri wake ni zaidi ya dada kwangu ila nilitokea kumpenda saana. I wish kama angekuwa wa age yangu.

Anaongea fulani tamu, uso analipa hakopeshi pia kwa Muonekano anaheshima nastaha. I love her. Umri tatizo.
Mapenzi hayana mwenyewe

Unaweza penda kijana au mzee

By rubi
 
Salim Kikeke hebu tueleze kinaga ubaga, kisa cha kushinda na Dada yetu situdio halafu jioni unapumzika kwa wazungu ni tabia gani hiyo?

Hebu nirushieni namba ya huyo dada nianze mishe zangu fasta.
 
Unamsema yule wa Superbrand Afrika Mashariki na Kati?
 
Ni mtangazaji wa shirika moja la habari duniani.

Wengi mnamfahamu sitaki kumtaja labda amtaje. That woman ni mzuri, ana adabu na heshima ni mchamungu ila hana hata boyfriend.

Msiniulize nimejuaje, I wish I could be a man! Nyie wanaume mnataka mwanamke wa aina gani jamani? ningekuwa na kaka ningemuozesha .

Nimewapa chimbo naombeni mrejesho..
Duuh
 
Back
Top Bottom