Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Nyinyi ndo mnapenda kudanganywa,
Unajua kabisa hali yangu ya maisha sio ya kifisadi,
na ninapanda daladala halafu unataka nikuambie nitakununulia gari maana yake ni nini?
Tena tumejuana juzi halafu unataka nikuambie ''nitakuoa'', hapo ntakua nakuongopea tu mpenzi.
Unajua kabisa hali yangu ya maisha sio ya kifisadi,
na ninapanda daladala halafu unataka nikuambie nitakununulia gari maana yake ni nini?
Tena tumejuana juzi halafu unataka nikuambie ''nitakuoa'', hapo ntakua nakuongopea tu mpenzi.