Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
I like this thinkingKila mtu na choices zake maishani...
Mtu mzima kachagua kufuata dini nyingine, hajalazimishwa then waja mnahangaika...
Mimi watoto wangu nitawafundisha kupenda watu wengine,kutoiba etc
Dini watachagua wenyewe wakifika 18 years old
Hata wakiamua kufuata dini za wahindi sawa tu
Individualism.....you got'cho yours ,I got mine!
You have a such fine brain!