Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
I like this thinkingKila mtu na choices zake maishani...
Mtu mzima kachagua kufuata dini nyingine, hajalazimishwa then waja mnahangaika...
Mimi watoto wangu nitawafundisha kupenda watu wengine,kutoiba etc
Dini watachagua wenyewe wakifika 18 years old
Hata wakiamua kufuata dini za wahindi sawa tu
We anzua apo apo chief 😂shwaaaaaAhahahah na anzia wap?
Dini ni mapokeo tu mkuu, umezaliwa ukakuta wazazi wako wakristo/waislamu, na wewe ukajikuta unatembea humohumo.Kumbe kufungiwa jf kunauma hivi siku zilikua hazisongi any way tuachane na hayo.
Unamchukuliaje mwanaume anayebadili dini kisa mwanamke, mimi namuona wa ajabu kweli kama ameshindwa kusimamia imani ya dini yake bas hata maamuzi kama baba wa familia hatokua nayo mke akimkingia kibesi tayar kaflot.
Wanaume acheni huu ufwala kama binti amekupenda akufuate na sio wewe umfuate na tambua once utaamua kumfuata huyo manzi kisa dini kuna vyeo flani flani umejivua kama mwanaume tafuta wa dini yako wanawake tuko kibao usipelekeshwe na tamaa za moyo wako bila kushirikisha akili yako utaja umia
🤣🤣🤣Dunia simama mimi nishuke ukirudi utanipitia🤣Huu uzi umenikumbusha Wazee Fulani na vyeo vyao kabisa Wamebadili dini ukubwani,, wamewafuata wake zao.
Nampiga mimba,then nambwaga kwani shilingi ngapi?sasa ndio unakumbana na wale kina joyce kiria halaf limoyo lako ndio limemdondokea unafanyaje