Wanaume na kujihami...!

ni kweli kabisa
Na mie hapa huwa sielewi
akishalipuka nyumbani
ndo anaweza sema ana matatizo kazini
lakini hawezi fika tu na kukwambia

men bana!


kusema kuwa nina tatizo hapo ni ngumu
na kuanza kusema kuwa tatizo ninalo ni ngumu
 
Kama anapiga ulabu hakikisha nyumbani kuna chupa kadhaa za red label.
Ukiona kakasirika unammiminia four fingers kwa glass
Mwenyewe utaona anatabasamu.

Kumbe hamtujulii wanaume wanywaji eh?
 
uzuri mume wangu ni rafiki yangu, haoni shida kunisimulia mambo yanayomwangusha na mara nyingi huniomba ushauri kwa vitu vingi sana, siwezi kusema vyote, labda vingine haniambii, mara nyingi akiwa na kitu kinamsumbua lazima ataniambia, anaweza kusema this is embarrassing lakini naomba nikuambie. nadhani na mimi nampa confidence ya kunisimulia sababu nitajitahidi kwa lolote atakaloniambia asijisikie vibaya baada ya kufanya hivyo na namwambia hilo mbona la kawaida......
 
Ndo maana binti yangu ataenda kwenye mikono salama. Mie pia nimeoana na rafiki yangu asee. Vinginevyo kandoa kangu kangeshavunjika siku nyiiiiingi!
 
huyo alikuwa mkeo au GF? kule kwa GF huwa hamtakiwi kueleza weakness zenu, ila kwa mke? sasa atakusaidiaje kama humwambii nini kinakusibu?
 
Hongera kwa kuolewa.
Sasa mme anakuwaje awe rafiki yako wakati mmeunganishwa na kuwa kitu kimoja?
hivi mnakuwa kitu kimoja?
sisi bado kila mtu ana feelings zake, maamuzi yake,........ ndo maana tunaendelea kuwa marafiki.
Asante
 
Ndo maana binti yangu ataenda kwenye mikono salama. Mie pia nimeoana na rafiki yangu asee. Vinginevyo kandoa kangu kangeshavunjika siku nyiiiiingi!

ha haaaaaaaaaa, rafiki, yaani binti atakuwa salama kabisa, au ahamie kabisa kwetu ili tuanze kukalea tangu saa hizi? ni strategy nzuri
 
hivi mnakuwa kitu kimoja?
sisi bado kila mtu ana feelings zake, maamuzi yake,........ ndo maana tunaendelea kuwa marafiki.
Asante

Basi huyo mme ni B/F na sio mmeo utakubaliana na mimi kwa hilo?
 
Ndo maana binti yangu ataenda kwenye mikono salama. Mie pia nimeoana na rafiki yangu asee. Vinginevyo kandoa kangu kangeshavunjika siku nyiiiiingi!

Mpwa mama nanihii ni rafiki yako?
 
ha haaaaaaaaaa, rafiki, yaani binti atakuwa salama kabisa, au ahamie kabisa kwetu ili tuanze kukalea tangu saa hizi? ni strategy nzuri
Nahofia huyo rafiki yako hachelewi kumbadilishia mwanao kibao. Binti mwenyewe ushamuona lakini? Ni vile tu hairuhusiwi, ningemuoa mwenyewe.
 
Nahofia huyo rafiki yako hachelewi kumbadilishia mwanao kibao. Binti mwenyewe ushamuona lakini? Ni vile tu hairuhusiwi, ningemuoa mwenyewe.
rafiki, mtake radhi rafiki yangu.................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…