Well said; I am totally convinced, halafu wewe hapo unaweza kuniingiza dini kirahic :smiling:@G ukiangalia tuliyokatazwa lazima utagundua madhara yake, kwa uwazi kabisa na hapa sasa hata suala la Mungu haliji wala nini maana madhara yanakup[ata wewe mwenyewe!!! utiifu wa sheria za Mungu wala haumnufaishi Mungu bali sisi wenyewe!!!
majority tunafanya huku tukijua matokeo yake kabisa lakini bado tunafanya!!! basi tukubaliane tu ngono haikataziki kwa karne hii!!
hii ni XXLPoa mama! Mzima wewe? Hapo kwenye red hakyanani nimesisimka! Halafu nikakuzawadia hiki hapa
The Following User Says Thank You to Mom For This Useful Post:
Chrispin (Today)
Back to the topic: Hakyanani hebu tema mate chini:
1.Aliyempa mimba kama atakuwa mjingamjinga (konda, dereva, muuza genge nk): Yeye ataenda mochware, mimi ntakuwa nasubiria signecha ya prezidenti, binti atalelewa na mama yake.
2.Kama atakuwa mwanafunzi mwenzie: Ntavuta pumzi na kutafakari kwa kina. Ntahitaji na busara za wazazi wake
3.Kama atakuwa mme wa mtu: Itakuwa kama namba 1 hapo juu pamoja na nyongeza ya mimi kummegea mkewe na mabinti zake kabla sijamhamishia mochware
4.Kama atakuwa kijana mwenye heshima yake na mwenye elimu/kipato cha kueleweka, atafungishwa ndoa ya mkeka. Akiikataa namba moja itaaply
Kuna haja ya kuendelea zaidi au nimeshaeleweka?
Poa mama! Mzima wewe? Hapo kwenye red hakyanani nimesisimka! Halafu nikakuzawadia hiki hapa
The Following User Says Thank You to Mom For This Useful Post:
Chrispin (Today)
Back to the topic: Hakyanani hebu tema mate chini:
1.Aliyempa mimba kama atakuwa mjingamjinga (konda, dereva, muuza genge nk): Yeye ataenda mochware, mimi ntakuwa nasubiria signecha ya prezidenti, binti atalelewa na mama yake.
2.Kama atakuwa mwanafunzi mwenzie: Ntavuta pumzi na kutafakari kwa kina. Ntahitaji na busara za wazazi wake
3.Kama atakuwa mme wa mtu: Itakuwa kama namba 1 hapo juu pamoja na nyongeza ya mimi kummegea mkewe na mabinti zake kabla sijamhamishia mochware
4.Kama atakuwa kijana mwenye heshima yake na mwenye elimu/kipato cha kueleweka, atafungishwa ndoa ya mkeka. Akiikataa namba moja itaaply
Kuna haja ya kuendelea zaidi au nimeshaeleweka?
Tatizo kubwa hapa lingine ni sheria za ndoa za Tanzania ambazo zimepitwa na wakati. Nchi za magharibi kama mwanamke na mwanaume wameishi kwa kipindi fulani katika nyumba moja basi mwanamke ana haki zote kama za mke aliyeolewa kanisani au msikitini. Kuna kila sababu ya bunge kupitisha sheria kama hii nchini.
Hapo naona umetema kikwenu..... Hebu tema kwa kiswahili sasa...nimetema mate (pyuu mbakasia)
ni need to say more! I just wish atakua mwanafunzi mwenzie maana kidogo adhabu yake itavumilika. lakini nawe huogopi jela baada ya kupeleka mtu motwachere? na hata matesha akakosa mlezi!
Well said; I am totally convinced, halafu wewe hapo unaweza kuniingiza dini kirahic :smiling:
mi si kiswahili nimejifunzia shule sijui!
tupange bai ratiba ya mafundisho besti....lol!!
Noname dunia yetu hii tuishimo hiiii......wee acha tu!!
No kidding mie naona tumekuwa homo limitlessness ndo maana maisha yanakuwa magumu.... na hizi dini ndo zinatuwekea limits, mie nilishapata adabu yangu ikabidi ni rudi kwa mungu... yes I started talking God (dont ask me which God) because he is the same God the creator of the universe... sawa basi tupange ratiba... :smiling:
mmhmmh flexibility ya avatar yako imenipoteza na nimeshindwa kusoma post yako.........
I hate your avatar.....this is from the deepest part of my heart!!!
Kama mmeishi nae bila kuoana anakuona wewe ni hood hoe, akuoe wa nini? Kama unagawa mpaka unamwambia ishi nayo, lala nayo, basi the status quo is working, aint gotta fix nothin, tena ni loop hole ya kutokea, akichoka nayo hana mkataba wala vifungo, ni kuanza na moto.... yani hata kama mmeishi pamoja
wapendwa naomba mnisaidie kwa hili, kwanini wanaume ni waoga sana kuingia kwenye ndoa? yani hata kama mmeishi pamoja ikija kwenye suala la ndoa ni kupiga kalenda tu, ni kwanini inakua hivyo? je anakua hana mapenzi na mwenzi wake lakini anaendelea kudanganya kuwa anampenda?
.........Wameishi miaka 10 pamoja,na wana watoto 4, hawa watakuwa wana ndoa ya kimila.Kuna sheria inasema kwamba watu mkiishi miaka 2 pamoja hii serikalini inajulikana ndoa tayari.Kama huyo mwanaume alimtolea mahari huyo mwanamke basi huyo mke wake halali kimila ndio maana mwanaume hana pressure.
.......Huyo mdada alikosea mwenyewe tokea mwanzo kukubali kwenda kuishi na mwanaume bila ndoa ya kidini...........hivyo inabidi awe mpole tu kama mume hataki kwenda kufunga ndoa kanisani.
........Kama anaona cheti cha ndoa muhimu sana inabidi amuongeleshe mumewe maneno matamu ili wakafunge ndoa ya serikalini ili wapate cheti...........vile vile awe mjanja ahakikishe vitu vyote walivyo navyo nazungumzia mali hapa waandike kwa majina yao wote wawili ili asije kugeukwa baadaye.